Unabii 132

Israeli MIMI Ninawapenda, MIMI Ninawakemea!

Imeandikwa/Imezungumzwa chini ya Upako wa ROHO MTAKATIFU (RUACH HA KODESH) Kupitia Mtume & Nabii Elisheva Eliyahu Imepokewa Julai 16 – Imetolewa wakati wa Simchat Torah Oktoba 25, 2016

Ofisi ya Nabii haijakoma. Malaki hakuwa Nabii wa mwisho na kwa kweli kupitia kwake, YAHUVEH Aliahidi kutuma Manabii wengine zaidi & Wajumbe (Malaki 3:1; 4:4-6; Ufunuo wa Yohana 11).

Unabii huu (maneno yafuatayo) yalikuja ghafla na tukiwa na kongamano (Mwanzo 17:3-5; Isaya 60:3-4; Yoeli 2:27-32; Matendo ya Mitume 2:17-22)- majina yametolewa kwenye nakala-wakati wa Sabato Asubuhi Mnamo Julai 16, 2016 baada ya kusoma sehemu ya Torati (Hesabu 19:1-22:1) & haftarah (Waamuzi 11:1-33), pia na Unabii 63, O Israeli, Damu Yenu ya Dhabihu Ipo Wapi? Mwanzoni ilipewa kwake Elisheva Eliyahu Septemba 16, 2002.

Mwanzo 17:4

“kwa upande wangu, hili ndilo agano langu na wewe: Wewe utakuwa baba wa mataifa mengi.

Isaya 60:3-4

3Mataifa wataijia nuru yako

na wafalme kuujia mwanga wa

mapambazuko yako.

4‘‘Inua macho yako na utazame pande zote:

Wote wanakusanyika na kukujia,

wana wako wanakuja toka mbali,

nao binti zako wanabebwa mikononi.

Yoeli 2:27-32

27Ndipo mtakapojua kwamba mimi Niko katika

Israeli

na kwamba mimi ndimi BWANA

Mungu wenu,

kwamba hakuna mwingine,

kamwe, watu wangu hawataaibika tena.

28“Hata itakuwa, baada ya hayo,

nitamimina Roho yangu juu ya wote

wenye mwili.

Wana wenu, waume kwa wake, watatabiri,

wazee wenu wataota ndoto

na vijana wenu wataona maono.

29Hata juu ya watumishi wangu, wanaume kwa

wanawake,

katika siku zile nitamimina Roho yangu.

30Nami nitaonyesha maajabu katika mbingu na

juu ya nchi,

damu, moto na wimbi la moshi.

31Jua litageuzwa kuwa giza na mwezi kuwa

damu kabla ya kuja siku ya BWANA iliyo

kuu na ya kutisha.

32 Kila mmoja atakayeliitia

jina la BWANA ataokolewa.

Kwa maana juu ya Mlima Sayuni na katika

Yerusalemu kutakuwako wokovu,

kama BWANA alivyosema,

miongoni mwa walionusurika ambao

BWANA awaita.

Maasei (Matendo ya Mitume 2:5-16)

5Basi walikuwepo Yerusalemu Wayahudi wanaomcha Mungu kutoka kila taifa chini ya mbingu. 6Waliposikia sauti hii, umati wa watu ulikusanyika pamoja wakistaajabu, kwa sababu kila mmoja wao aliwasikia wakisema kwa lugha yake mwenyewe. 7Wakiwa wameshangaa na kustaajabu wakauliza, “Je, hawa wote wanaozungumza si Wagalilaya? 8Imekuwaje basi kila mmoja wetu anawasikia wakinena kwa lugha yake ya kuzaliwa? 9Warparathi, Wamedi, Waelami, wakazi wa Mesopotamia, Uyahudini, Kapadokia, Ponto na Asia, 10Frigia, Pamfilia, Misri na pande za Libya karibu na Kirene na wageni kutoka Rumi, 11(Wayahudi na waongofu, Wakrete na Waarabu sote tunawasikia watu hawa wakisema katika lugha zetu wenyewe, mambo makuu ya ajabu ya Mungu.’’ 12Wakiwa wameshangaa na kufadhaika wakaulizana, “Ni nini maana ya mambo haya?’’

13Lakini wengine wakawadhihaki wakasema, “Hawa wamelewa mvinyo!’’

14Ndipo Petro akasimama pamoja na wale mitume kumi na moja, akainua sauti yake na kuhutubia ule umati wa watu, akasema: “Wayahudi wenzangu na ninyi nyote mkaao Yerusalemu, jueni jambo hili mkanisikilize. 15Hakika watu hawa hawakulewa kama mnavyodhania, kwa kuwa sasa ni saa tatu asubuhi! 16Hawa hawakulewa, ila jambo hili ni lile lililotabiriwa na nabii Yoeli akisema…

Yafuatayo ni Unabii ulivyokuja

—na Nabii Elisheva, akizungumza katika "Ndimi Takatifu," kama ROHO wa MUNGU Alivyomjalia kutamka (Matendo ya Mitume 2:3-4) kwa lugha za wanadamu na malaika (1 Wakorintho 13:1). Elisheva anazungumza katika ndimi zinazoleta Unabii (1 Wakorintho 14:6).

Inayo MAJINA ya KIEBRANIA ya MUNGU:

YAH/YAHU יה ni JINA TAKATIFU la MUNGU, kama vile “Alleluia” au “Hallelu YAH” הללו–יה ambayo humaanisha “Msifu YAH”: YAHUVEH/YAHWEH י-ה-ו-ה MUNGU BABA; YAHUSHUA/YAHSHUA יהושוע MWANA WA PEKEE WA MUNGU—(HA MASHIACH המשיח inamaanisha “MASIHI”; ELOHIM אלוהים INAMAANISHA “MUNGU.”)

Ufunuo wa “SH’KHINYAH GLORY” שכניה תפארה —kama JINA la KIBINAFSI la RUACH HA KODESH רוח הקדש, (katika Kiiengereza “ROHO MTAKATIFU”) —upo kwenye tovuti hii. (HA SH’KHINAH {SHEKINAH} ni Kiebrania inamaanisha UWEPO WA MUNGU.)

Zaidi ya hayo, ABBA YAH אבא יה humaanisha “BABA YAH” na IMMA YAH אמא יה humaanisha “MAMA YAH.”

Maandiko yaliyotajwa yametoka KJV au NKJV, isipokuwa pale palipotajwa vinginevyo.

* * * * * * *

Maneno ya YAHUVEH kwake Elisheva iliyoongezwa mbele ya Unabii zote:

Nilikuonya kitambo Elisabeth [Elisheva], kutoita Huduma hii kwa jina la mwanamume au mwanamke. Hata kabla kuwepo na Huduma, Niliiweka ndani ya roho yako. Kwa kuwa hakuna lolote lililofanyika kwa mikono yako. Hakuna lolote lililotoka kwenye kinywa chako.

Ilitoka kwenye Kinywa cha YAHUVEH Aliyeizalisha. Ilitoka kwenye Kinywa cha YAHUSHUA, MASIHI wako Aliyeizalisha. Ilitoka kwenye Kinywa cha RUACH HA KODESH, IMMAYAH wako Aliyeizalisha.

Kama ingekuwa tu kwa mkono wako, ingekuwa imefeli kitambo.

Ni kwa UPEPO WA SHKHINYAH GLORY unaovuma kote duniani, UPEPO TAKATIFU WA UAMSHO. Sio kwa pumzi yako, au ingekuwa imefeli.

Isaya 42:8

8‘‘Mimi ndimi BWANA,

hilo ndilo jina langu!

Sitampa mwingine utukufu wangu

wala sanamu sifa zangu.

(Unabii 105)

Katika mwezi wa Julai 2010, MUNGU YAHUVEH pia Alisema kuongezwe yafuatayo kwa wale wanaokejeli:

“Lakini waliwadhihaki Wajumbe wa MUNGU, na kuyadharau Maneno YAKE, na kuwacheka Manabii WAKE, hata ilipozidi Ghadhabu ya BWANA YAHUVEH juu ya Watu WAKE, hata kusiwe na kuponya.”

—2 Mambo ya Nyakati 36:16

* * * * * * *

Haya yalirekodiwa kupitia kinaza sauti/video. Hii ndiyo nakala-majina mengi yametolewa.

[Baada ya kusoma Unabii 63; Wote wakaomba katika Ndimi Takatifu; Shofar ikapulizwa; shetani akafungwa, na kongamano likapigana katika maombi (Warumi 8:26-27; 1Wakorintho 14:15)…]

Elisheva: Asante, asante, ninawashukuru… Tunaulizia karama ya kutafsiri ndimi (Isaya 28:11; 1 Wakorintho 12:10; 14:13) sasa hivi kwa yale yaliyozungumzwa. Je, Kuna yeyote anajua? Ni Neno gani hili lililozungumzwa? Kama yeyote ameisikia, tuambie.

Warumi 8:26

26Vivyo hivyo, Roho hutusaidia katika udhaifu wetu, kwa sababu hatujui kuomba ipasavyo, lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa uchungu kusikoweza kutamkwa.

Isaya 28:11

11Basi, vema kabisa, kwa midomo migeni na

kwa lugha ngeni,

Mungu atasema na watu hawa,

1 Wakorintho 12:7-10

7Basi kila mmoja hupewa ufunuo wa Roho kwa faida ya wote. 8Maana mtu mmoja kwa Roho hupewa neno la hekima na mwingine neno la maarifa kwa Roho huyo huyo. 9Mtu mwingine imani kwa huyo Roho na mwingine karama za kuponya. 10Kwa mwingine matendo ya miujiza, kwa mwingine unabii kwa mwingine kupambanua roho, kwa mwingine aina mbali mbali za lugha, kwa mwingine tafsiri za lugha.

1 Wakorintho 14:13

13[…] yeye anenaye kwa lugha na aombe kwamba apate kutafsiri kile anachonena.

[Mmoja wa Kongamano asikia, “Sikia O Israeli”; na mwingine, “Israeli, damu yenu ya dhabihu ipo wapi?” (Mamabo ya Walawi 17:11) na “DAMU YANGU imeloweka kwenye udongo wa Israeli”]

Mambo ya Walawi 17:11

Kwa kuwa uhai wa kiumbe uko ndani ya damu nami nimewapa hiyo damu ili mfanyie upatanisho kwa ajili yenu wenyewe juu ya madhabahu, damu ndiyo ifanyayo upatanisho kwa ajili ya maisha ya mtu.

Kinachonishangaza sasa, sijui hata nitazungumzaje haya maneno-huzuni ambao YAHUSHUA Anahisi. Je, Kuna mwingine anayesikia kitu?-kabla ndimi takatifu za [maombezi] hayajaanza (Warumi 8:26-27; 1 Wakorintho 14:15). […]

Asante, BABA YAHUVEH…sijui ni wangapi wanajua haya, lakini watapata kujua sasa hivi kama hili linaachiliwa-na kila mtu atapata kujua (maadui waliokataliwa wanaojaribu kuharibu ni akina nani-adui huyu anayejaribu kumnyamazisha huyu Nabii).

Ni YAHUSHUA Ajaye tena wakati watu watakaposema, waliokataliwa watakaposema, “O Milima tuangukie sisi, tufiche kwa YULE ANAYEKETI KWENYE KITI CHA ENZI na kwa Ghadhabu ya MWANAKONDOO” [Ufunuo wa Yohana 6:16-17]). Na hivi ndivyo tulivyo karibu na mwanzo wa Dhiki Kuu.

Na [hapo awali] niliposikia Unabii [63] uliopewa kwangu 2002-hakujawahi kuwa na msomo wa upako kama huu tuliofanya [katika mkutano huu].

Ilikuwa kitambo sana, sikuwa natumia kinaza sauti au ziko chache sana-na [kabla sijazungumza Unabii huu mpya], muombe na hizo ndimi ambazo zitafanya mapepo kukimbia katika njia 7 tofauti na kuogopa mnapoomba.

Mmoja wa Kongamano: Ninasikia Upako ukiniongelesha, ukisema,

Neno la Kinabii

Israeli hamjayasikia Maneno ya Manabii WANGU. Ilitabiriwa pale kwenye Kitabu cha Isaya na imetabiriwa kote katika-Agano la Kale la Damu kuwa YAHUSHUA Atakuja na Israeli haikusikia, na hamkuyasikia Maneno ya Manabii WANGU. Na ndipo NABII WA MANABII Akaja, YAHUSHUA. Hawakumpokea.

Na Israeli lazima wajue Neno la YAHUVEH na lazima wajue Maneno ya Manabii na lazima wajue Torati na lazima waamini na kupokea kuwa YAHUSHUA Ndiye MASIHI na MWANA WA YAH.

Mwisho wa Neno

[Elisheva azungumza katika ndimi akileta Unabii (1 Wakorintho 14:6) ]

Unabii 132 Unaanza:

Sabato-Julai 16, 2016. Video inaanza hapa.

Tena Ninasema kwenu Israeli kama mnavyokaribia Wakati wa Taabu ya Yakobo (Yeremia 30:7), Huzuni ya Huzuni (Mathayo 24:8-9), hamjui?-Nilipolia machozi ya damu (hematidrosis, Luka 22:44), Niliwalilia nyinyi!

Yeremia 30:7

7Tazama jinsi ile siku itakavyokuwa ya

kutisha!

Hakutakuwa na nyingine mfano wake.

Utakuwa wakati wa dhiki kwa Yakobo,

Lakini ataokolewa kutoka katika hiyo.

Mathayo 24:7-9

7Taifa litainuka dhidi ya taifa na ufalme dhidi ya ufalme. Kutakuwa na njaa na matetemeko ya ardhi sehemu mbalimbali. 8Haya yote yatakuwa ndio mwanzo wa utungu.

9“Ndipo mtasalitiwa, ili mteswe na kuuawa, nanyi mtachukiwa na mataifa yote kwa ajili yangu.

Luka 22:44

44Naye akiwa katika maumivu makuu, akaomba kwa bidii, nalo jasho Lake likawa kama matone ya damu yakidondoka ardhini.

Mnafanya desturi zote. Mnasherehekea Sabato. Mnasherehekea Karamu za Kiyahudi. Mnasoma Torati na kumbe katika Torati yenu, MIMI nipo pale! Moshe ananizungumzia MIMI (Kumbukumbu la Torati 18:15 n.k.); MIMI nipo pale!

Kumbukumbu la Torati 18:15-19

15 BWANA Mungu wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka miongoni mwa ndugu zenu wenyewe. Lazima mumsikilize yeye. 16Kwa kuwa hivi ndivyo mlivyomwomba BWANA Mungu wenu kule Horebu siku ile ya kusanyiko, wakati mliposema, ‘‘Na tusiisikie sauti ya BWANA Mungu wetu wala kuuona moto huu mkubwa tena, ama sivyo tutakufa.’’ 17BWANA akaniambia: ‘‘Wanachosema ni vema. 18Nitawainulia nabii kama wewe kutoka miongoni mwa ndugu zao, nitaweka maneno yangu kinywani mwake naye atawambia kila kitu nitakachomwamuru. 19Kama mtu ye yote hakusikiliza maneno yangu ambayo nabii atayasema kwa jina langu, Mimi mwenyewe nitamwajibisha.

Nililia machozi ya DAMU kwenu O Israeli na hayo hayakutosha. Nikathibitisha upendo WANGU Niliposulubiwa-sio tu kwa dhambi za dunia yote (kwa wale ambao wangepokea ile DAMU ya Kalivari) lakini O Israeli, Nilichagua udongo wenu! DAMU YANGU ilimwagwa kwenu! Kwa sababu Ninawapenda!

O Ninalia na kutaabika. Kwa kuwa Maandiko yatathibitishwa na damu itakuja mpaka kwenye kimo cha hatamu za farasi (Isaya 63:3; Ufunuo wa Yohana 14:20)!

Isaya 63:3-4

3“Nimekanyaga shinikizo la zabibu peke yangu,

kutoka katika mataifa hakuna mtu

awaye yote aliyekuwa pamoja nami.

Nimewaponda mataifa kwa miguu katika

hasira yangu

na kuwakanyaga chini katika ghadhabu

yangu,

damu yao ilitia matone matone kwenye

mavazi yangu

na kutia madoa nguo zangu zote. 4Kwa kuwa siku ya kisasi ilikuwa moyoni

mwangu,

mwaka wa ukombozi wangu umefika.

Ufunuo wa Yohana 14:19-20

19Hivyo yule malaika akauzungusha mundu wake duniani na kukusanya vichala vya zabibu za dunia na kuzitupa kwenye shinikizo kubwa la ghadhabu ya Mungu. 20Lile shinikizo likakanyagwa nje ya mji, nayo damu ikatiririka kama mafuriko kutoka katika hilo shinikizo kufikia kimo cha hatamu za farasia, kwa umbali wa maili mia mbili.b

O Israeli!

Dunia inawageuka- hata yule, yule ambaye aliyekuwa wa pekee ambaye ungeweza kumuita rafiki-Marekani wanakusaliti tena na tena! Nyinyi sio magaidi, na lakini wale ambao ni magaidi ndio wanaowashtaki!

MIMI, YAHUSHUA, Ninawalilia!

Mlisikia Unabii [63] ikipewa pale 2002 na Nabii WANGU Elijah wa Upya, lakini O Israeli pale 2016, roho ya Eliyahu na roho ya Moshe-ukamilifu wa Upako (Malaki 4:4-6) na kutoka sasa-kwa wote ambao wanapokea YAHUSHUA, DAMU ya MIMI YAHUSHUA iliyomwagwa pale Kalivari kwa upatanisho wa dhambi zenu ili maombi yenu yaweze kusikizwa na BABA yenu YAHUVEH, Ninawaambia haya: Msisome tu Manabii wa kale lakini pia Someni kuhusu Manabii-Unabii zilizozungumzwa kupitia Elisheva Eliyahu. Kwa kuwa sasa kuna Upako zaidi.

Ni ishara pia: MIMI, YAHUSHUA, kujiunga nanyi, O Israeli!

Sitaki kufanya yale ambayo lazima Niyafanye! Njooni KWANGU! O Bibi Arusi wa Israeli! Inukeni sasa! Njooni KWANGU! Ninawatamani! Njooni KWANGU! Kwa kuwa Nimengoja kwa muda mrefu sasa-na kila sehemu ya Torati-“Nitafuteni na mtanipata: (Yeremia 29:13-14; Mathayo 7:7; Luka 11:5), Unabii ulipewa, kutoka huyu Elisheva Eliyahu.

Yeremia 29:11-14

11Kwa maana ninajua mipango niliyo nayo kwa ajili

yenu,’’ asema BWANA. “Ni mipango ya kuwafanikisha na wala si ya kuwadhuru, ni mipango ya kuwapa tumaini katika siku zijazo. 12Kisha mtaniita na mtakuja na kuniomba, nami nitawasikiliza. 13Mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote. 14Nitaonekana kwenu,” asema BWANA, “nami nitawarudisha watu wenu waliotekwa. Nitawakusanya kutoka katika mataifa yote na mahali pote nilipokuwa nimewafukuzia, nami nitawarudisha mahali ambapo nilikuwa nimewatoa ili wachukuliwe uhamishoni,” asema BWANA.

Mathayo 7:7-12 (oneni pia Luka 11:5-13)

7“Ombeni nanyi mtapewa, tafuteni nanyi mtapata, bisheni nanyi mtafunguliwa mlango. 8Kwa maana kila aombaye hupewa, naye atafutaye huona, naye abishaye hufunguliwa mlango.

9‘‘Au ni nani miongoni mwenu ambaye mwanawe akimwomba mkate atampa jiwe? 10Au mwanawe akimwomba samaki atampa nyoka? 11Ikiwa ninyi basi mlio waovu mnajua jinsi ya kuwapa watoto wenu vitu vizuri, si zaidi sana Baba yenu aliye mbinguni atawapa vitu vizuri wale wamwombao ? 12Kwa hiyo cho chote ambacho mngetaka mtendewe na watu, ninyi nanyi watendeeni vivyo hivyo. Kwa kuwa hii ndiyo Torati na Manabii.’’

O Israeli!

Tena Ninasema wapi damu yenu ya dhabihu? Nyakati za huzuni za huzuni zipo karibu kuwajia! Waona dunia. Wanageuka na kuwakejeli. Wanakata laini yenu ya fedha.

O lakini Israeli!

Nina hamu ya kuwabariki! Sitawahi kuwaacha wala kuwatupa (Kumbukumbu la Torati 31:6; Waebrania 13:5) kama tu mtanidai MIMI! Dai DAMU hiyo iliyomwagwa pale Kalivari kwenu! Kusoma huku kwa Torati hakutawaokoa! Mna njia nzuri sana ambazo mnanipa heshima BABA YAHUVEH lakini mnahitaji pia MWOMBEZI (Isaya 64:6)!

Kumbukumbu la Torati 31:6

6Iweni imara na moyo wa ushujaa. Msiogope wala msifadhaike kwa sababu yao, kwa kuwa BWANA Mungu wenu anakwenda pamoja nanyi, kamwe hatawaacha wala hatawatupa ninyi.’’

Waebrania 13:5

5Yalindeni maisha yenu msiwe na tabia ya kupenda fedha, bali mridhike na vile mlivyo navyo, kwa sababu Mungu amesema, “Kamwe sitakuacha

wala sitakupungukia.”

Isaya 64:6

6Sisi sote tumekuwa kama mtu aliye najisi,

nayo matendo yetu yote ya uadilifu ni

kama matambaa machafu,

sisi sote tunasinyaa kama jani

na kama upepo maovu yetu

hutupeperusha.

Hakuna YEYOTE ambaye ni wa thamani kuja mbele ya Kiti cha Enzi cha BABA YAH ila katika-YAHUSHUA MASIHI-JINA la MASIHI wenu! Nililipa GHARAMA kwenu pale Kalivari! Wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa BABA YAH (Warumi 3:23; Mhubiri 7:20)! Hakuna YEYOTE aliye kamili (Zaburi 130:3)!

Warumi 3:23

23kwa kuwa wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,

Mhubiri 7:20

20Hakuna mtu mwadilifu duniani

ambaye hufanya mambo ya haki na kamwe asitende dhambi.

Zaburi 130:3

3Kama wewe, Ee BWANA,

ungeweka kumbukumbu ya dhambi,

Ee BWANA, ni nani angeliweza kusimama?

Niliwajia nyinyi! Niliwahubiria nyinyi! Ishara na maajabu, miujiza ni sehemu tu, hata, yaliyorekodiwa [pale kwenye Bibilia]. Niliwafufua waliokufa.

O Israeli, Njooni KWANGU. Ninawalilia. Ninawalilia!

Na Huduma hii sasa inaanza, imeanza tu, kutembea katika ukamilifu wa Upako. Mahali shetani alikejeli na kusema “Huduma ya Elisheva Eliyahu imeisha.” “Amightywind imeisha.” Kwa kuwa aliishi na “Yudasi” [Iskarioti] (Ish-Kariyot, Marko 3:19, pia Matendo ya Mitume 1:16) kwa miaka 7 na hakujua!

Marko 3:19

19Yuda Iskariote, ambaye ndiye aliyemsaliti Yesu.

O, lakini Nawaambia nyinyi O Israeli! Kubali DAMU YANGU iliyomwagwa kwenu pale Kalivari! Tambueni kuwa SIJAFA! Nilifufuka tena katika siku ya tatu (Mathayo 16:21, 1 Wakorintho 15:4). Na Nikafanya ishara, maajabu na miujiza zaidi kushinda kitabu chochote kilichoweza kuonyesha nilivyotembea ulimwenguni huu kwa siku 40 na Nikapaa hadi Mbinguni mbele ya mashahidi (Matendo ya Mitume 1:3, Marko 16:19).

Mathayo 16:21

21Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaeleza wanafunzi wake kwamba hana budi kwenda Yerusalemu na kupata mateso mengi kwa mikono ya wazee, wakuu wa makuhani na walimu wa sheria na kwamba itampasa auawe na siku ya tatu atafufulika.

1 Wakorintho 15:4

4ya kuwa alizikwa na alifufuka siku ya tatu,

Matendo ya Mitume 1:3

3Baada ya mateso Yake, alijionyesha kwao na kuwathibitishia kwa njia nyingi kwamba yeye yu hai. Katika muda wa siku arobaini baada ya kufufuka kwake aliwatokea na kunena kuhusu Ufalme wa Mungu.

Marko 16:19

19Baada ya Bwana YAHUSHUA kusema nao, alichukuliwa juu mbinguni na kuketi mkono wa kuume wa Mungu.

O Israeli, O Israeli! Ninawawajibisha hata zaidi. Kwa kuwa mnazungumza maneno yote sawa (Isaya 29:13) lakini mpaka mnipe MIMI nyoyo zenu, mpaka mkubali DAMU ILIYOMWAGWA pale Kalivari (Zekaria 12:10; 13:1), siwezi kuwasamehea!

Isaya 29:13-14, 24

13Bwana anasema:

“Watu hawa hunikaribia kwa vinywa vyao

na kuniheshimu kwa midomo yao,

lakini mioyo yao iko mbali nami.

Huniabudu bure, mafundisho yao ni sheria

tu walizofundishwa na wanadamu.

14Kwa hiyo mara nyingine tena nitawashangaza

watu hawa,

kwa ajabu juu ya ajabu,

hekima ya wenye hekima itapotea,

akili ya wenye akili itatoweka.’’

24Wale wanaopotoka rohoni watapata ufahamu,

wale wanaolalamika watayakubali

mafundisho.’’

Zekaria 12:10

10“Nami nitamiminia roho ya neema na maombi juu ya nyumba ya Daudi na wakazi wa Yerusalemu. Watanitazama mimi, yule waliyemchoma, nao watamwombolezea kama mtu anayemwombolezea mwanawe wa pekee na kusikitika kwa uchungu kama anayemsikitikia mzaliwa wake wa kwanza wa kiume.

13:1Katika siku hiyo, chemchemi itafunguliwa kwa nyumba ya Daudi na wakazi wa Yerusalemu, kuwatakasa dhambi na unajisi.

O lakini wakati Neno hili litakapozungumziwa, kuna Upako mpya siku hii na o wengi sana watasikia na watakuja wakinikimbilia MIMI! Watakuja wakikimbia kama watoto wadogo! Wataruka kwa furaha!

Kwa kuwa waona Huduma hii sio ya kawaida Ninavyoleta viongozi pamoja. Na sasa Ninawaleta nyinyi, O Israeli.

O Israeli, mtachukiwa na mnachukiwa kwa sababu mmetengwa kando lakini nyinyi sio Watakatifu tena! Angalieni mlichoruhusu!

GWARIDE ZA MASHOGA? KUAVYA MIMBA! JE, MNAWEZAJE KUSOMA SEHEMU ZA TORATI? BILA KUANGUKA CHINI KWA MAGOTI NA KUTUBU MBELE YA BABA YAHUVEH! JE, MNAWEZAJE KUFANYA HIZI DESTURI? ZINAZOKAA TAKATIFU! NA HAMUTUBU? KWA YALE NCHI YENU INAYOFANYA!

NA NINALIA, NINALIA, NINALIA! WAPI MAADILI MAZURI KULE ISRAELI! WAPI KIWANGO CHA UTAKATIFU!

NENDENI, NENDENI, NENDENI, NENDENI MBALI NAMI! MNAPOSOMA TORATI TU NA BADO HAMTUBU-TUBUNI!

Lilieni nchi yenu, O Israeli!

JE, WAPI VIONGOZI? NETANYAHU! ULITUMWA KAMA NABII KWENYE CONGRESS YA [2015 MAREKANI]! WEWE NDIWE WA PEKEE TU NILIYEPATA! Lakini KWA NINI warudi Israeli na hauwaambii kutubu dhambi zao!

DAMU YA WATOTO HAWAJAZALIWA! IMELOWA MIKONONI MWAKO! KUAVYA MIMBA! HAUJUI-hawa watoto, hawa watoto wadogo wasio na hatia, wamepewa kwake mungu moloch (moleki, Mambo ya Walawi 18:21)? WAMEPEWA KWA SHETANI!

Mambo ya Walawi 18:21

21‘‘ ‘Usimtoe mtoto wako ye yote awe kafara kwa mungu Moleki, kamwe usilinajisi jina la Mungu wako. Mimi ndimi BWANA.

O ISRAELI, O ISRAELI! Gongo la ghadhabu la YAH linakuja! Kwa kuwa Ninawaadhibu wale Ninaowapenda (Kumbukumbu la Torati 8:5; Mithali 3:11-12; Waebrania 12:6-8; Ufunuo wa Yohana 3:19)!

Kumbukumbu la Torati 8:5

5Mjue basi ndani ya mioyo yenu kama mtu anavyomwadibisha mwanae, ndivyo BWANA Mungu wako atawaadibisha ninyi.

Mithali 3:11-12

11Mwanangu, usidharau marudi ya BWANA

na usichukie kukaripiwa naye,

12kwa sababu BWANA huwarudi wale

awapendao,

kama vile baba afanyavyo kwa mwana

apendezwaye naye.

Waebrania 12:6-8

6kwa sababu Bwana huwaadibisha wale

awapendao

na humwadhibu kila mmoja anayemkubali

kuwa mtoto Wake.”

7Vumilieni taabu kwa ajili ya kufunzwa adabu. Mungu anawatendea ninyi kama watoto Wake, kwa maana ni mtoto yupi asiyeadibishwa na mzazi wake? 8Kama hakuna kuadibishwa (ambalo ni fungu la watoto wote), basi ninyi ni watoto wa haramu wala si watoto halali.

Ufunuo wa Yohana 3:19

19Wale niwapendao, ninawakemea na kuwaadibisha. Hivyo uwe na bidii ukatubu.

Na Nitawachapa (Ezekieli 5:7-9)! Na Nitaruhusu dunia kuwachapa (Zekaria 14:1-3)! Mpaka mwishowe mtakapopiga magoti na kusema, “Baraka kwa yule Ajaye katika JINA la BWANA YAHUSHUA!” (Zaburi 118; Mathayo 21:9; 23:38-39)!

Ezekieli 5:7-9

7Kwa hiyo hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: “Ninyi mmekuwa wakaidi kuliko mataifa yanayowazunguka na hamkufuata amri zangu wala kuzishika sheria zangu. Wala hamkuweza hata kuzifuata kawaida za mataifa yanayowazunguka.

8Kwa hiyo, hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo, “Mimi mwenyewe, niko kinyume chenu Yerusalemu, nitawapiga kwa adhabu yangu mbele ya mataifa. 9Kwa ajili ya sanamu zenu zote za machukizo, nitawafanyia kile ambacho kamwe sijawafanyia kabla wala kamwe sitawafanyia tena.

Zekaria 14:1-3

1Siku ya BWANA inakuja ambayo nyara zilizotekwa kwenu zitagawanywa machoni penu.

2Nitayakusanya mataifa yote huko Yerusalemu kupigana dhidi yake, mji utatekwa, nyumba zitapekuliwa na wanawake watanajisiwa. Nusu ya mji watakwenda uhamishoni, lakini watakaobaki hawataondolewa kutoka mjini.

3Kisha BWANA atatoka na kupigana dhidi ya watu wa yale mataifa, kama apiganavyo siku ya vita.

Zaburi 118:25-26

25Ee BWANA, tuokoe,

Ee BWANA, utujalie mafanikio.

26Heri yule ajaye kwa jina la BWANA .

Kutoka katika nyumba ya BWANA

tunakubariki.

Mathayo 23:38-39

38Tazama nyumba yako imeachwa tupu na ukiwa. 39Kwa maana nawaambia, hamtaniona tena mpaka siku ile mtakaposema, ‘Amebarikiwa Yeye ajaye kwa Jina la Bwana.”

Tena, O Israeli, simama kwa maadili mema! Simameni kwa kiwango cha Utakatifu!

Mnatamka Amri Kumi! Mnatamka Amri za Torati! Lakini, Ni wangapi wanazifuata? Je, Ni wangapi wanasimamia maadili mema? Maneno yasio na maana-yamo midomoni mwenu (Isaya 29:13; Zaburi 50:15-16)! Na sitayabariki haya!

Zaburi 50:15-16

15na uniiite siku ya taabu

nami nitakuokoa nawe utanitukuza.

16Lakini kwake mtu mwovu, Mungu asema:

“Una haki gani kunena sheria zangu

au kuchukua agano langu midomoni

mwako?

Njooni KWANGU! Na toba na machozi! Hawa ndio Nitakaowaokoa! Nyinyi! Hawa ndio Nitakaowalinda! Acheni kupuuza ukweli! Dunia hii itawachukia kamwe, lakini MIMI-O Israeli, MIMI YAHUSHUA-Ninawapenda! BABA yenu YAH Anawapenda!

Acheni kuogopa JINA la BABA yenu wa MBINGUNI!

Je, Hamjasoma Zaburi 91 [mstari 14-16]? NINAISIKIA! Na bado nyinyi huwa hata mnathubutu kulitaja JINA LANGU bure kwa kutoruhusu lisisemwe. Mnafikiria haya hunipa MIMI heshima Ninaposema tena na tena-BABA YAH, tena na tena Anawaambia, “Katika JINA LANGU!” “Katika JINA LANGU!” (Zaburi 89:24; 1 Samueli 17:45; Isaya 50:10). “Lieni katika JINA!” (Yoeli 2:32). Msiogope JINA la YAHUVEH!

Zaburi 91:14-16

14 BWANA asema, “Kwa kuwa

ananipenda nitamwokoa,

nitamlinda kwa kuwa amelikubali jina

langu.’’

15Ataniita, nami nitamjibu,

nitakuwa pamoja naye katika taabu,

nitamwokoa na kumheshimu.

16Kwa siku nyingi nitamshibisha

na kumwonyesha wokovu wangu.

Msiogope JINA la YAHUSHUA! “YAH” lipo katika JINA LANGU!

O Israeli, O Israeli!

Ninawalilia nyinyi! Ninasumbuka kwa ajili yenu! Machozi ya DAMU ilimwagwa kwenu (hematidrosis, Luka 22:44). Je, shetani alinijaribu wapi (Mathayo 4:1-11; Marko 1:12-13; Luka 4:1-13)-ila tu Israeli? Kwa hivyo siku hii ninachukua wakati kusema O Israeli, Njooni KWANGU.

Njooni KWANGU! Kwa kuwa Wakati wa Taabu ya Yakobo na Huzuni ipo karibu kuwajia!

Njooni KWANGU! Jifunzeni juu YANGU! Na chukueni onyo-hata neno hili linalotoka sasa. Yule ambaye atakuja kama masihi bandia (Zekaria 11:17; Danieli 7:7-8, 24-25; 8:23-24; 9:27) ipo karibu sana! Msidanganywe! Njooni KWANGU sasa!

Zekaria 11:17

17“Ole wa mchungaji asiyefaa,

anayeliacha kundi!

Upanga na uupige mkono wake na jicho

lake la kuume!

Mkono wake na unyauke kabisa, jicho lake la kuume lipofuke kabisa!”

Danieli 8:23-24

23Katika sehemu ya mwisho ya utawala wao, wakati waasi watakapokuwa waovu kabisa, atainuka mfalme mwenye uso mkali na stadi wa hila. 24Atakuwa na nguvu nyingi, lakini si kwa uwezo wake mwenyewe. Atasababisha uharibifu wa kutisha na atafanikiwa kwa cho chote anachofanya. Atawaangamiza watu maarufu na watu watakatifu. […]

Njooni kwa, MIMI, YAHUSHUA! Na ninawaahidi kuwa nitawafunika Mikononi MWANGU! Dhambi zenu zitakuwa kama mashariki ilivyo mbali na magharibi (Zaburi 103:12)! Nitawafunika kwa AGANO LA DAMU YANGU! Nitaweka pete kwenye vidole vyenu! Nitawajaza na RUACH HA KODESH! Njooni KWANGU O Israeli!

Zaburi 103:12

12kama mashariki ilivyo mbali na magharibi, ndivyo Mungu ameziweka dhambi zetu mbali na sisi.

O DAMU YANGU, DAMU YANGU, DAMU YANGU! Hata tone moja tu ingewaokoa NYOTE kule Israeli! Ingeokoa WOTE duniani! Tone moja tu! Lakini bado niliimwaga yote.

Hakuna yeyote aliye na kisingizio, au yeyote anayeweza kusema kuwa hawajui JINA LANGU. Haya ndiyo Maneno yaliyo Moyoni MWANGU leo hii O Israeli.

IMMAYAH Anataka kuwakusanya nyie na kuwaweka [Israeli] chini ya mabawa YAKE. (Kwa kuwa YEYE Ndiye ‘MAMA TAI’! YEYE sio ‘kuku’ [oneni Kigiriki Mathayo 23:37 & Luka 13:34, ornis ni “ndege”])! YEYE anataka kuwalinda nyinyi! Yule ambaye mnamuita MPENDWA ROHO MTAKATIFU, RUACH HA KODESH Anataka kuwajaza.

Mathayo 23:37 (ona pia Luka 13:34)

37“Ee Yerusalemu, mnaowaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwenu! Mara ngapi nimetamani kuwakusanya watoto wako, kama vile kuku akusanyavyo vifaranga vyake chini ya mbawa zake, lakini hukutaka!

Njooni KWANGU O Israeli! Kubali DAMU Niliyoimwaga kwenu pale Kalivari!

Misumari-miiba zilizodungwa mikononi MWAKE, Miguuni! Taji ya miiba iliyowekwa Kichwani MWAKE. Nilichapwa kwa ajili yenu O Israeli! Kila Nilichopitia haikuwa tu ya dunia hii pekee, [wale] ambao wangenipokea lakini O Israeli, Niliwachagua nyinyi! Niliwachagua nyinyi! Niliwachagua nyinyi kutembea kwenye ardhi hii niliyoitembelea. Niliwachagua nyinyi!

O Njooni KWANGU O Israeli! Mnataka kumheshimu MUNGU BABA YAHUVEH, BABA? Basi Niheshimu MIMI. Kwa kuwa hamuezi kuja Mbinguni, hamuezi kuja kwa BABA YAH bila ya kuja kupitia JINA LANGU & DAMU YANGU!

O Israeli! Tena simameni kwa ajili ya maadili mema. Dunia inataka kuwachukia? Wape sababu! Simameni kwa maadili mema! Simameni kwa utakatifu! Mnafanya yale ambayo nchi nyingine katika ulimwengu huu hawafanyi! Mjitenge kwa Utakatifu tena! Muoshe ile damu ya kuavya mimba itoke mikononi mwenu!

O wapi kiongozi wenu ambao nyoyo zao ni ZANGU? Ambaye haogopi! Kusema, “O Israeli rudini tena!” kwa yale-ambayo Moshe alihubiri! Kwa Utakatifu!

Kuna AGANO MPYA LA DAMU na ni DAMU YANGU iliyomwagwa kwenu-kama Nilivyoimwaga kwa wote ambao wataipokea-lakini, sasa, Israeli, Ninaongea na NYINYI!

Rudini!

Rudini! Rudini kwa yale ambayo Wanafunzi wa kale, Mitume, walichofunza! Rudini. Msitaje tu Amri za Torati-zitii! Zitii.

Kwa sababu Ninawapenda sana!

Tena Ninawaonya kama mnavyoona kinachofanyika kote duniani, kama mnavyoona amri zikipitishwa zikiwabandika Israeli kama “magaidi” na chuki ambayo inayowajia na viongozi wa siasa wanaosema wao ni marafiki na kumbe ni maadui, lakini kuna mwanamume ambaye hata hazifuati Amri ZANGU-lakini jina lake ni Donald Trump-na kwa kweli anapenda Israeli! Anaweza kuwa rafiki kwenu.

Kwa kuwa napambana naye hata sasa. Hii ndiyo sababu [mwanzoni] alichagua yule naibu rais (Yohana 6:70-71) ambaye alitaka awe naye kushinda uchaguzi, lakini haya hayawezi kufanyika kama watu wa kutosha wasipoomba na kuweka matendo nyuma ya maombi na kutoka na kupiga kura!

Ninawaambia haya sasa.

Nilipozungumza na Elisheva Eliyahu na akawaamuru mashujaa wa maombi kuombea [sanasana na Unabii 131] Donald Trump (kwa sababu ya ndoto ambayo Nilimpa, na kubadilisha moyo wake) kumfunika mwanamume huyu katika maombi, angalia chaguo aliyochagua (Yohana 6:70-71)-mwanamume ambaye [kwa jukwaa yake] anathamini “maisha” “wainjilisti”-[hata kama ni kwa kuonyesha tu (Yohana 12:6)]-mwanamume mvumilivu,” kinyume cha kiburi cha Donald Trump.

Yohana 6:70-71

70Ndipo Yesu akajibu, ‘‘Je, sikuwachagua ninyi kumi na wawili? Lakini mmoja wenu ni ibilisi.’’ 71(Hapa alikuwa anasema juu ya Yuda, mwana wa Simoni Iskariote. Ingawa alikuwa mmoja wa wale kumi na wawili, ndiye ambaye baadaye angemsaliti Yesu.)

Yohana 12:4-6

4Ndipo Yuda Iskariote mwana wa Simoni, mmoja wa wale wanafunzi ambaye ndiye atakayemsaliti Yesu, akasema, 5“Kwa nini manukato haya hayakuuzwa kwa dinari 300c na fedha hizo wakapewa maskini?” 6Yuda alisema hivi si kwa kuwa aliwajali maskini, bali kwa kuwa alikuwa mwivi, kwa kwani ndiye aliyekuwa akitunza mfuko wa fedha akawa anaiba kile kilichowekwa humo.

Ilikuwa MIMI, YAHUSHUA Niliyeiweka rohoni mwake [kuchagua mwinjilisti]. Kwa kuwa Ninamvuta. Ninamvuta. Hataki kucheza mchezo wa siasa. Na ni mengi ambayo yeye hujiwekea mwenyewe.

Kama tu Netanyahu-anathamini ndoa lakini anapuuza ukweli! Anapuuza ukweli kwa sababu ya siasa! Hataki zile gwaride za mashoga wala ndoa za jinsia sawa! Kupuuza ukweli! Kupuuza ukweli! Hivi ndiyo siasa za dunia hii zilivyo-kuogopa kusema ni nini wanachoamini.

Lakini leo O Israeli, Ninawalilia nyinyi. MIMI, YAHUSHUA, Nilitaabika sana Nilipokuwa hapa duniani. Na BABA YAHUVEH Anawalilia! Wekeni matendo nyuma ya Maneno ya Torati! Mnapotaja Amri za Torati wekeni matendo nyuma yake. Kwa kuwa “imani bila matendo imekufa” (Yakobo 2:20).

Yakobo 2:17-23

17Vivyo hivyo, imani peke yake kama haikuimbatana na matendo, imekufa.

18Lakini mtu mwingine atasema, ‘‘Wewe unayo imani, mimi ninayo matendo.’’

Nionyeshe imani yako pasipo matendo nami nitakuonyesha imani yangu kwa matendo. 19Unaamini kwamba kuna Mungu mmoja. Vema! Hata mashetani yanaamini hivyo na kutetemeka.

20Je, wataka kujua, wewe mwanadamu usiye kitu, kwamba imani bila matendo haifai kitu? 21Je, Abrahamu baba yetu hakuhesabiwa haki kwa kile alichotenda, alipomtoa mwanawe Isaki madhabahuni? 22Unaona jinsi ambavyo imani yake na matendo yake vilikuwa vinatenda kazi pamoja, nayo imani yake ikakamilishwa na kile alichotenda. 23Kwa njia hiyo yakatimizwa yale Maandiko yasemayo, ‘‘Abrahamu alimwamini Mungu, ikahesabiwa kwake kuwa haki,’’ naye akaitwa rafiki wa Mungu.

Kutoka leo-Ninazungumzia uongozi wa Huduma hii na Ninawaambia haya-na hizo sehemu za Torati, mnapozungumzia Manabii wa Kale, pia zungumzeni juu ya Unabii ambazo Nimempa Elisheva Eliyahu. Kwa kuwa ni ya wakati huu na masaa haya.

Kwa kuwa zitawaongoza Watu wa Israeli kwa MIMI, YAHUSHUA!

O Israeli daima mmekuwa na mitetemeko ya ardhi lakini hamuezi hata kuyafikiria yale yatakayotendeka: Wakati MIGUU ya MIMI YAHUVEH & MIMI, YAHUSHUA & MIMI, IMMAYAH, RUACH HA KODESH ITAKANYAGA kote Israeli! Kuwaadhibu! Wakati midomo yenu imekauka kwa sababu mmekataa kupokea MAJI YA UZIMA, MIMI YAHUSHUA, NA NIFUNGE ANGA! Na nina Mashahidi WANGU Wawili watakaoamuru hakuna mvua yoyote itakayoanguka!

Ninawaonya sasa. Ninawaonya sasa. Yote ni sehemu ya kuwaadhibu!

Pokeeni MAJI YA UZIMA sasa na hamtawahi kuwa na kiu tena, O Israeli. Kuleni MANA YA MBINGUNI na hamtawahi kuwa na njaa tena, O Israeli.

Ninaweza kuwafanya mukose kuonekana (Yeremia 36:26; Zaburi 27:5; 31:20) katika umati wa watu kama tu vile Nilivyofanya Nilipotembea hapa ulimwenguni kule Israeli (oneni Luka 4:29-30; Yohana 7:30; 8:59; 10:39). Nilitembea kati ya wale ambao wangekuwa maadui na hakuna yeyote aliyeniona MIMI. Serikali zinafikiria kuwa zina bio data yenu. O! Lakini MIMI, YAHUSHUA, Naweza kubadilisha DNA yenu.

Ninaweza kufanya mengi sana O Israeli-kuwalinda, kama tu mtainama na kupiga goti KWANGU. Ninaweza kuwaficha kwa njia ambazo hamjawahi kuota yawezekana. Zaburi 91 ni ahadi Niliyowapa, lakini lazima mje katika JINA la YAHUSHUA na kupitia DAMU ya YAHUSHUA.

Nina hamu ya kuwalinda O Israeli-wale ambao Nitawaita watoto WANGU, waliokombolewa, waliokombolewa-mabaki watakuja!

Watasikia Unabii huu na watakimbia, kimbia, kimbia KWANGU! Na Nitawakaribisha kwa sababu Ninawapenda O Israeli! Hata siku hii ya Sabato, ni wangapi sasa walioinamisha vichwa vyao na kuomba? Na bado mko mbali NAMI. Mnakataa kunikubali MIMI, lakini haya yatabadilika-kwa sababu Nina Bibi Arusi wa Israeli.

Na watakaposikia Maneno haya, watatambua MASIHI wao na watakubali ile TUZO Niliyowapa pale Kalivari na DAMU YANGU, watasafishwa.

Na wafasiri Waebrania watakuja mbele na kusaidia kufasiri! Bure watapeana tuzo hili na kusaidia kugeuza Maneno haya katika lugha ya Kiebrania.

Haya ndiyo Maneno Niliyo nayo ya kusema katika siku hii ya Sabato baada ya kusoma sehemu ya Torati. Hakikisheni kuwa mmeziweka Unabii Nilizompa huyu Nabii Eliyahu.

Mwisho wa neno – Sehemu ya 1

Elisheva: Sifa kwa YAHUSHUA!

[Makofi, Sifa]

…katika JINA la YAHUSHUA. Asante BABA YAH. HAYO NDIYO NINAYOSIKIA. KWA HIVYO NATAKA KUSEMA Asante BABA YAHUVEH! Asante MPENDWA YAHUSHUA! Asante IMMAYAH! Kama Unabii [63] iliyopewa 2002, “O Israeli Wapi Damu yenu ya Dhabihu” ilivyosomwa, o, nilihisi YAHUSHUA Akilia na kutaabika. Na YEYE Alizungumza maneno ya hata kwa nini alilia Machozi yale ya DAMU na sikujua kama nilikuwa na maneno ya kuzungumza kwa sababu hisia zilikuwa zimenizidi. Lakini ninakukushuru kwa hizi Ndimi Takatifu-Ujumbe uliweza kutoka.

[Kongamano linaabudu na saa moja baadaye, YAH Anazungumza tena…]

Elisheva: Ninasikia neno likija kwa kila mtu-vipi, sijui vile ya kukatiza ibada yako. Sijui la kufanya. Je, Unataka kuenda [anacheka] au wataka kukoroga Upako [na karama ya ndimi]?

Sawasawa, wewe anza kuomba. Ngoja dakika moja, acha niombe kwanza.

BABA wa MBINGUNI-hiyo ilikuwa ibada nzuri sana-MPENDWA YAHUSHUA. BABA YAHUVEH, MPENDWA YAHUSHUA & IMMAYAH, tunakuja-tunakuja pamoja katika UWEPO WAKO. Tunakuja mbele ya Kiti CHAKO cha enzi na shukrani na sifa kwa sababu WEWE umesema kuwa hii ndiyo njia ya pekee ambayo maombi yetu inasikika kwa kweli (Zaburi 95:2; 100:4; 1 Wathesalonike 5:17-18). Na tunapokuinua na kukuabudu, [kinaza sauti kinaruka] tunakushukuru! Tunakusifu!

Zaburi 95:2

2Tuje mbele zake kwa shukrani,

tumtukuze kwa vinanda na nyimbo.

Zaburi 100:4

4Ingieni malangoni mwake kwa shukrani na katika nyua zake kwa kusifu, mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.

1 Wathesalonike 5:17-18

17ombeni pasipo kukoma, 18shukuruni kwa kila jambo, kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu kwa ajili yenu katika Kristo Yesu.

Hata malaika, wanakusifu WEWE masaa 24 kwa siku (oneni Ufunuo wa Yohana 4:8; Isaya 6:2-3). WEWE husema hata mawe yatalia (Waebrania 2:11; Luka 18:40)! Kama hatutakusifu WEWE (Habakuki 2:11; Luka 19:40, oneni pia Yoshua 24:27)! Na tunafanya hivyo, kwa kuwa WEWE unastahili kusifiwa!

Habakuki 2:11

11Mawe ya kuta yatapiga kelele,

na mihimili ya kazi ya mbao itarudisha

mwangwi wake.

Luka 19:40

40YAHUSHUA akawajibu, “Nawaambia ninyi, kama hawa wakinyamaza, mawe yatapiga kelele.”

Na kama tulivyokuwa tunakuabudu YAHUSHUA, nilisikia Neno likija na sikujua vile ya kukatiza, vile ya kuisema wakati Upako ulikuwa mzito kwangu. Kwa hivyo Ninauliza sasa kama tunavyosifu, naomba Neno lije tena kubariki watoto WAKO wapendwa. Ninauliza haya kwa utukufu WAKO BABA YAHUVEH, YAHUSHUA & MPENDWA IMMAYAH!

Basi endelea na anza kuomba.

[Kongamano linaunga kwa muda mfupi, kuomba kwa Ndimi Takatifu] [Ndimi takatifu] [Elisheva anaomba katika Ndimi Takatifu]

Unabii 132 Sehemu ya 2 Inaanza:

O! Mpendwa WANGU, Mpendwa WANGU, Mpendwa WANGU, Mpendwa WANGU, Bibi Arusi WANGU Mpendwa! O-o Ninavyowafurahia siku hii! Mnaweka mipango yenu kando ambayo mngefanya! Na badala ya hayo na mnakuja KUNIABUDU MIMI! KUJIFUNZA juu YANGU!

[Sauti za kulia na furaha] Na Ninawaambia haya.

IMMAYAH yupo ndani ya sifa hizo na ibada hiyo (Zaburi 22:4(3))! Kwa hata vile mlivyofikiria kuwa mmesimama pale tu au kuketi pale, ndio Ninawaambia: Hata wale watakaosikia haya, WOTE mlikuwa mbele ya Kiti CHANGU cha Enzi! WOTE na kama watasikiliza hii ibada na kusifu unapotoa [Unabii] huu na nyoyo zao zimetubu mbele YANGU na wameoshwa kuwa wasafi na DAMU YANGU ILIYOMWAGWA!

Zaburi 22:3

3Hata hivyo umesimikwa katika kiti cha enzi kama Mtakatifu, wewe ni sifa ya Israeli.

Hakuna hata kitu kimoja ambacho Nitawanyima (Zaburi 84:11), hakuna hata ombi moja mliyoiweka mbele YANGU (Mathayo 7:11)-kama inavyoambatana na mapenzi ya BABA, Nitawafanyia, na hata kuzidi yale ambayo hamjawahi kuota wala kuulizia (Waefeso 3:20)!

Zaburi 84:11

11Kwa kuwa BWANA ni jua na ngao,

BWANA hutoa wema na heshima,

hakuna kitu chema anachowanyima

wale ambao hawana hatia.

Mathayo 7:11

11Ikiwa ninyi basi mlio waovu mnajua jinsi ya kuwapa watoto wenu vitu vizuri, si zaidi sana Baba yenu aliye mbinguni atawapa vitu vizuri wale wamwombao ?

Waefeso 3:20

20Basi kwa Yeye awezaye kutenda mambo ya ajabu yasiyopimika kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya uweza Wake ule utendao kazi ndani yetu,

Haya ndiyo hufanyika wakati mnapokuja KWANGU katika ibada na sifa (na nyoyo za kutii)!

Mmeona Nilichofanya na kwa haraka Nlichofanya! Kwa hivyo Ninawaambia nyinyi, MIMI siheshimu watu (Kumbukumbu la Torati 10:17; Matendo ya Mitume 10:34; Warumi 2:11)! Kaeni waaminifu KWANGU! Wekeni macho yenu KWANGU! Kwa kuwa Nina hamu ya kuwabariki! Na Nitawabariki! Na kuzidisha yale ambayo hamjawahi kuota wala kuulizia!

Kumbukumbu la Torati 10:17

17Kwa kuwa BWANA Mungu wenu ni Mungu wa miungu na Bwana wa ma BWANA Mungu mkuu, mwenye uweza na wa kutisha ambaye hana upendeleo na hapokei rushwa.

Matendo ya Mitume 10:34

34“Ndipo Petro akafumbua kinywa chake akasema, “Mungu hana upendeleo,

Warumi 2:11

11Kwa maana Mungu hana upendeleo.

Je, Mnajua ibada yenu leo hii mlipoinua sauti zenu KWANGU-hamkuinua sauti zenu-mliinua nyoyo zenu, mliinua nafsi zenu! Na Malaika Watakatifu na wingu la Mashahidi waliabudu nanyi!

Kwa hivyo wale walio na masikio watasikia (Mathayo 13:16-17; Luka 8:18) wale ambao hawapo, Ninawaahidi haya: Mtakua hapa mbele ya Kiti cha Enzi! Hata kama miili yenu ipo ulimwenguni, kuna pande moja ya roho yenu na nafsi ambayo inaweza pia kuwa, wakati uo huo mbele ya Kiti cha Enzi! Mbele ya BABA YAHUVEH! Mbele ya YAHUSHUA! Na ndio, hata mbele ya IMMAYAH!

Hii ndiyo baraka ambayo Ninayo kwenu! Chukueni ombi zenu-na mniletee MIMI hata Ninavyozungumza. Kwa siri, Nipe MIMI lakini kumbuka kusema, “Kama itakavyoambatana na njia ya BABA YAH.” Nipe yote MIMI. Nipe yote MIMI, na haya pia yanajumuisha mizigo yako YOTE (Zaburi 55:22; 1 Petro 5:6-7). Nipe yote MIMI, na tazama na ona Nitakachofanya.

Zaburi 55:22

22Mtwike BWANA fadhaa zako,

naye atakutegemeza, hatamwacha kamwe mwenye haki wake aanguke.

1 Petro 5:6

6Basi, nyenyekeeni chini ya mkono wa Mungu ulio hodari, ili awakweze kwa wakati Wake. 7Mtwikeni Yeye fadhaa zenu zote kwa maana hujishughulisha sana na mambo yenu.

Kwa hii heshima ya ibada-na nyoyo zenu za ibada na nafsi zinazoniabudu-imekuwa baraka KWANGU! Hii ndiyo sababu Nilikatiza muziki na Ninataka kusema vile Ninavyowapenda, na Ninayotamani kuwa nanyi. Na itakuwa hivi karibuni!

O Bibi Arusi wa YAHUSHUA Nisikilizeni MIMI! Nimewamgoja! Nimewatamani! Nimehuzunika kwa ajili yenu! Nimewalilia! Kama Elisheva alivyowekwa huru-pia, Bibi Arusi wa YAHUSHUA, KAMA tu watakubali!

NJOONI-kutokana na kufungwa nira na wasioamini (Kumbukumbu la Torati 7:3-4)! Je, Mbuzi na kondoo wana usawa gani (Kumbukumbu la Torati 22:10; Mathayo 25:32-33)?

Kumbukumbu la Torati 7:3-4

3usioane nao. Usimtoe binti yako kuolewa na mwanawe au kumchukua binti yake aolewe na mwanao. 4Kwa maana watamgeuza mwanao aache kunifuata, ili aitumikia miungu mingine, nayo hasira ya BWANA itawaka dhidi yako naye atakuangamiza ghafula.

22:10

10Usilime kwa maksai aliyefungwa nira pamoja na punda.

Mathayo 25:32

32Mataifa yote watakusanyika mbele zake, naye atawatenga kama mchungaji anavyotenga kondoo na mbuzi. 33Atawaweka kondoo upande wake wa kuume na mbuzi upande wake wa kushoto.

Je, Si Neno LANGU husema, “Msifungwe nira na wasioamini? (2 Wakorintho 6:14)? O watoto WANGU wapendwa mnaponibariki MIMI, SASA MIMI YAHUSHUA Ninawabariki!

2 Wakorintho 6:14

14Msifungiwe nira pamoja na watu wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa, kwa maana pana uhusiano gani kati ya haki na uovu? Au kuna ushirika gani kati ya nuru na giza?

Elisheva: Nilikuwa na maono. Niliona Moshe akiwaongoza Watoto wa Israeli.

Unabii Unaendelea:

Na Ninawaambia haya: Israeli, Watakatifu watainuka-wale ambao wamejua dhambi hiyo haikubaliki-hawatabaki kimya watakaposikia Unabii huu uliotoka hapo awali.

(Elisheva: Kwa kuwa YAH Asema…)

YEYE Atatumia hii Huduma ya [AmightyWind] na upako mbili, ya roho ya Eliyahu & Moshe, PAMOJA kuongoza Israeli katika TOBA (oneni Ezekieli 37)! Kwa kuwa hii ndiyo njia ya pekee Israeli wataokolewa (oneni Zekaria 7-14; Yeremia 30; Mika 5:5-6; Warumi 11:1, 11-12; Ufunuo wa Yohana 7-19)!

Na itachukua kiongozi wa nguvu, ambaye atakataa kupuuza ukweli kwa sababu ya siasa! Atakua na hofu kuu ya nafsi yake!

Na kama tu Hakimu Roy Moore licha ya matokeo, hata na mateso na mashtaka-kiongozi wa Israeli, YAHUVEH Anamlilia sasa katika JINA LA YAHUSHUA, unajua sawa kutokana na baya! Je, Gharama ya nafsi yako ni nini (Mathayo 16:26)? Kwa kuwa Watakatifu na waliokombolewa watainuka tena Israeli! Na wanatafuta kiongozi ambaye hatapuuza ukweli!

Mathayo 16:26

26Kwa maana itamfaidia nini mtu kuupata ulimwengu wote, lakini akayapoteza maisha yake? Au mtu atatoa nini badala ya maisha yake?

Na “Wakanyaga mapepo wa YAHUSHUA,” kama mlivyoamuriwa kuombea Donald Trump sasa pia, MIMI YAHUVEH Nasema, muombee huyo kiongozi kule Israeli kujitokeza! Kurudisha kiwango cha Utakatifu!

Wanaizungumzia katika Torati! Wanajua Amri za Torati! Wanazitamka Amri Kumi! ([Elisheva:] sasa YAHUSHUA Asema…) Ninawangoja wazitii! Na kusiwe na kupuuza ukweli tena! O Israeli!

(Elisheva: Tena, ninasikia YAHUSHUA Anasema,)

Unabii Unaendelea:

Ninawapenda. Na Nina hamu ya nyinyi tena. Kusimamia Utakatifu! Na siku moja mtakua ile “Nchi ‘Takatifu.’” Kwa kuwa MIMI Nitaongoza na kutawala kutoka Israeli (Zaburi 2:6-12; Zaburi 110:1-2; Isaya 9:6-7: Yeremia 23:5; Ezekieli 43:7; Danieli 7:13-14; Zekaria 6:12-13; 14:4; Luka 1:32-33; Ufunuo wa Yohana 19:15-16; pia oneni Yeremia 33:6-18 n.k.)!

Zaburi 2:6-12

6“Nimemweka Mfalme wangu

juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.’’

7Nitatangaza amri ya BWANA :

yeye aliniambia, “Wewe ni mwanangu, leo nimekuwa Baba yako. 8Niombe, nami nitayafanya mataifa kuwa urithi

wako, miisho ya dunia kuwa mali yako.

9Utawatawala kwa fimbo ya kifalme ya chuma na kuwavunjavunja kama chombo cha mfinyanzi.’’

10Kwa hiyo, ninyi wafalme, iweni na hekima, mwonyeke, enyi watawala wa dunia. 11Mtumikieni BWANA kwa hofu

na mshangilieni kwa kutetemeka.

12Mbusu Mwana, asije akakasirika nawe ukaangamizwa katika njia yako,

kwa maana hasira yake inaweza kuwaka

ghafula. Heri wote wanaomkimbilia.

Zaburi 110:1-7

BWANA amwambia Bwana

wangu: “Keti mkono wangu wa kuume,

mpaka niwafanye adui zako kuwa mahali pa kuweka miguu yako.’’

2 BWANA ataeneza fimbo yako ya utawala kutoka Sayuni,

utatawala katikati ya adui zako.

3Askari wako watajitolea kwa moyo

katika siku yako ya vita. Ukiwa umevikwa fahari takatifu,

kutoka kwenye tumbo la mapambazuko

utapokea umande wa ujana wakoa.

4 BWANA ameapa, naye hatabadilisha mawazo yake: “Wewe ni kuhani milele,

kwa mfano wa Melekizedeki.’’ 5Bwana yuko mkono wako wa kuume,

atawaseta wafalme siku ya ghadhabu yake.

6Atawahukumu mataifa, akilundika mizoga na kuwaseta watawala wa dunia nzima. 7Atakunywa maji katika kijito kando ya njiab, kwa hiyo atainua kichwa chake juu.

Isaya 9:6-7

6Kwa maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, tumepewa mtoto mwanamume, nao utawala utakuwa mabegani mwake. Naye ataitwa:

Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye

Nguvu, Baba wa Milele, Mfalme wa Amani. 7Kuongezeka kwa utawala wake na amani hakutakuwa na mwisho.

Atatawala katika kiti cha enzi cha Daudi

na juu ya ufalme wake, akiuthibitisha na

kuutegemeza kwa haki na kwa adili, tangu wakati huo na hata milele.

Wivu wa BWANA Mwenye Nguvu

utatimiza haya.

Yeremia 23:5

5BWANA asema, “siku zinakuja,

nitakapomwinulia Daudi Tawi lenye

haki, Mfalme atakayetawala kwa hekima na kutenda lililo haki na sawa katika nchi.

Ezekieli 43:7

7Akasema, “Mwanadamu, hapa ni mahali pa kiti changu cha enzi na mahali pa kuweka nyayo za miguu yangu. Hapa ndipo nitakapoishi miongoni mwa Waisraeli milele. Kamwe nyumba ya Israeli hawatalinajisi tena jina langu takatifu, yaani, wao wala wafalme wao, kwa ukahaba wao na kwa sanamu zao zisizokuwa na uhai za wafalme wao katika mahali pao pa juu pa kuabudia miungu.

Danieli 7:13-14

13Katika maono yangu ya usiku nilitazama, mbele yangu nikamwona anayefanana na mwanadamu, akija pamoja na mawingu ya mbinguni. Akamkaribia huyo Mzee wa Siku na akaongozwa mbele zake. 14Akapewa mamlaka, utukufu na ufalme wenye nguvu, watu, kabila zote za mataifa na watu wa kila lugha wakamwabudu. Utawala wake ni utawala wa milele ambao hautapita, nao ufalme wake ni ule ambao kamwe hautaangamizwa.

Zekaria 6:12-13

12Umwambie, hili ndilo asemalo BWANA Mwenye Nguvu: ‘Huyu ndiye mtu ambaye jina lake ni Tawi, naye atachipua kutoka mahali pake na kujenga hekalu la BWANA. 13Ni yeye atakayejenga hekalu la BWANA, naye atavikwa utukufu na ataketi kumiliki katika kiti cha enzi naye atakuwa kuhani katika kiti chake cha enzi. Hapo patakuwa amani kati ya hao wawili.’

Zekaria 14:4

4Siku hiyo miguu yake itasimama juu ya Mlima wa Mzeituni, mashariki mwa Yerusalemu, nao Mlima wa Mizeituni utagawanyika mara mbili kuanzia mashariki hadi magharibi, ukifanya bonde kubwa, nusu ya mlima ukisogea kuelekea kaskazini na nusu kuelekea kusini.

Luke 1:32-33

32Yeye atakuwa mkuu, naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu. Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi baba yake. 33Ataimiliki nyumba ya Yakobo milele na ufalme Wake hautakuwa na mwisho.”

Ufunuo wa Yohana 19:15-16

15Kinywani mwake mlitoka upanga mkali ambao kwa huo atayaangusha mataifa. Atayatawala kwa ‘‘fimbo yake ya utawala ya chuma.’’ Atalikanyaga shinikizo la mvinyo wa ghadhabu ya Mungu Mwenyezi. 16Kwenye vazi lake na paja lake liliandikwa jina hili: MFALME WA WAFALME NA BWANA WA MABWANA.

Haya ndiyo hutendeka mnapokuja mbele YANGU na ibada na sifa! Tena kwa wakati wa pili, Nimepeana Unabii huu kupitia Ringmaiden WANGU Elisheva. Kwa kuwa mmeikoroga Upako. Na ni kwa sababu ya ibada yenu na upendo wenu!

Mwisho wa Neno

Elisheva: Ninatazama skrini sasa [Video imepotea] na sijui kama mtu aliwasha stima na sijui kinachofanyika, lakini kuna mwangaza ambao nauona! Sijui kama ninaiona kwa dunia ya kiroho-au sijui, [papa hapa tu]? Mtu awashe stima au chochote pale?

Sina sauti. Kama mnaniongelesha, hakuna sauti. Je, Kuna mtu amewasha stima kule? […] Lazima naona… labda Ninaona katika dunia ya kiroho, lakini kuna mwangaza katika chumba hicho ambayo haikuwa hapo awali! MWANGAZA WA SHKHINYAH GLORY upo juu ya kila mmoja wenu katika JINA LA YAHUSHUA! Sawasawa! Hayo ndiyo niliyoyasikia!

1 Katika lugha ya matibabu inajulikana kama hematidrosis-hali ya maumivu makuu (Mathayo 26:38; Marko 14:34) ambapo binadamu anatokwa jasho la damu (Luka 22:44) & katika kesi zingine, analia machozi ya damu.

2 Mwanzo 16:7, 13; 18:1-2; 19:24; 22:11-12, 15-18; 31:11-13; 32:24, 29-30; 49:10; Kutoka 3:2-4; 23:20-21; Kutoka 24:9-12; Nambari 24:14, 17-19

3 Ofisi ya Nabii haijakoma. Malaki hakuwa Nabii wa mwisho na kwanza kupitia kwake, YAHUVEH Aliahidi kutuma Manabii wengine & Wajumbe (Malaki 3:1; 4:4-6).

4 RUACH HA KODESH ambaye ni “ROHO MTAKATIFU” katika Kiebrania, ni kike. HA SHKHINAH, inamaanisha UWEPO WA UUNGU ambayo inatambulika katika Uyahudi kama BIBI ARUSI WA SABATO & MALKIA WA MUNGU, MAMA WA MBINGUNI-YAH, “IMMA-YAH”-na chini ya Ufuniko/Mabawa YAKE, tuna usalama, (oneni :Kanfei al RUACH” [Zaburi 18:10], KUMAANISHA “Mabaya ya ROHO/UPEPO”-ROHO YA YAH, IMMAYAH, ana mabawa). Pia linganisha na Zaburi 91 na Maandiko mengi mengine (Kutoka 19:4; Kumbukumbu la Torati 32:11-12; Zaburi 17:8; Zaburi 36:7; Zaburi 57:1; Isaya 31:5)

5 Kuku au tai? MUNGU hafai kufananishwa na kuku. YAH Anatoa hapa mfano ambao Maandiko ambayo hayajaeleweka (Mathayo 23:37, Luka 13:34)-katika ufasiri mbovu, inaonekana ni kama MUNGU Anafananishwa na kuku akiwalinda wanao, “kama vile kuku anavyowalinda vifaranga wake chini ya mabawa” (Luka 13:34, NIV), lakini linganisha haya na Kigiriki (Mathayo 23:37 & Luka 13:34) ambapo (ornis) inamaanisha ndege (kama wanavyopaa angani – Strong’s G3733) & ss/ss (nossia/nossian), watoto wadogo wa ndege waliozaliwa.

Ufasiri unaofaa zaidi unaweza kuwa karibu na: “kama mama ndege anavyowakusanya wanao chini ya mabawa”. (“Hen,” kama iliyofasiriwa hapa, katika Kiingereza inamaanisha ndege yeyote ambaye ni wa kike wa species yoyote na “chick” pia, ndege mtoto yeyote aliyezaliwa, lakini “kuku” ni ufasiri wa kibinafsi kwa sababu neno hili la Kigiriki halitaji kwa uwazi ni ndege wanaolelewa nyumbani au kuku.

Mama tai? Ingawa inaweza kumaanisha kila aina ya ndege, pia kuku, mwanzo wake unaweza kuwa tai na wanao-kutoka (oros) mlima, na (airo) kupaa/inuka, inaonyesha kuwa ufahamu wa Kigiriki wa ndege ambaye anapaa, na pia anayeishi katika mlima mkuu. Hii pia ni kama Zaburi 91:1, 4 “Yeye akaaye mahali pa salama pake YEYE ALIYE JUU SANA,

atadumu katika uvuli wake Mungu

Mwenye Nguvu zote. […] 4Atakufunika kwa manyoya yake, chini ya mbawa zake utapata kimbilio, uaminifu wake utakuwa ngao na kinga yako.” Ambapo MUNGU ALIYE JUU Anafaninishwa na tai anayeishi juu mlimani, ambapo watoto wake wapo, katika uvulini wa mahali palipo juu pia hujificha chini ya mama na baba.

Tazameni kuwa SHADDAI (Zaburi 91), ina uhusiano na maneno ya kifua, mlima na mashamba yaliyo na mazao (Mwanzo 28:3; 35:11; 49:25) AMBAYO NI JINA kike la MUNGU, inayomtaja ROHO MTAKATIFU. Kama SEHEMU MWENZA ya YAHUVEH (oneni footnote 12) YEYE ni kama mama tai, kushinda kuku.

Mwishowe, “kuku” kama inayotumika katika misemo ya Kiingereza, mara nyingi humaanisha ‘mwoga’. Kwa hivyo YAH pia Anataumia hii kama pun kusema kuwa RUACH HA KODESH, SHADDAI sio tu MUNGU wa baraka, lakini pia MWENYEZI katika ghadhabu na uharibifu (Isaya 13:6; Yoeli 1:15)! Mama tai anaweza kuwa mpole na wanao, na bado hatari kwa maadui wake, wale ambao wanaweza kuwaumiza wanao.

6 Hii inazungumzia mabaki ya Israeli, “Israeli mzima wataokolewa: (Warumi 11:26); Israeli ya future, Zekaria 13:8-9; Isaya 10:20-25; Isaya 27:31-32).

Unahitaji maombi au Wokovu? Je, una maoni au maswali? Tafadhali tuma barua pepe kwake Mtume Nabii Elisheva Eliyahu!



CLICK HERE or the image below to go directly to her youtube channel
YAHSladyinred