UNABII 115

Chungeni Utawala Wa Kiimla Unaokuja Marekani Na Dunia!

Umeandikwa/ Umezungumzwa chini ya upako wa RUACH HA KODESH kupitia Mtume Elisabeth Sherrie Elijah (Elisheva Eliyahu) Umepokewa Septemba 30, 2009 mwanzo wa Yom Kippur Umeachiliwa Oktoba 12, 2009

Hii inatoka Unabii 105, YAHUVEH Alisema ujumbe huu uwekwe katika kila Unabii kutoka sasa: Nilikuonya kitambo Elisabeth(Elisheva) kutoita Huduma baada ya jina la mwanaume au mwanamke hata kabla kuwepo na huduma. Niliweka ndani ya roho yako kwa kuwa hakuna lolote kwa haya ambalo limefanyika kwa mkono wako, hakuna lolote kwa haya ambalo limetoka kwenye kinywa chako. Limetoka kwenye Kinywa cha YAHUVEH ambaYE amezaa. Limetoka kwenye Kinywa cha YAHUSHUA, MASHIACH wako ambaYE amezaa. Limetoka kwenye Kinywa cha RUACH HA KODESH, IMMAYAH wako ambaYE amezaa. Kama ingekuwa tu kwa mkono wako, ingekuwa imefeli kitambo. Ni kwa upepo wa SH�KHINYAH GLORY unaovuma kote duniani, Upepo Takatifu wa Uamsho, sio kwa pumzi yako au ingekuwa imefeli. (Isaya 42:8)

Julai 2010 MUNGU YAHUVEH pia alisema yaongezwe haya kutoka Mambo ya Nyakati ya 2 kabla ya kila Unabii:

2 Mambo ya Nyakati 36:16, �Lakini waliwadhihaki Wajumbe wa MUNGU, na kuyadharau Maneno YAKE, na kuwacheka Manabii WAKE, hata ilipozidi ghadhabu ya BWANA juu ya watu WAKE, hata kusiwe na kuponya.�

*******

Umerejelewa Oktoba 15, 2009. Yale Maombi ya Elisabeth (Elisheva) ambayo hayakuwa yamerekibshwa yaliwekwa mwanzo kimakosa. Haya ndio Maombi yaliyorekebishwa. Unabii wenyewe bado u sahihi.

Katika hili Neno chini, YAHUVEH Amwambia meneja wa tovuti aweke picha yangu kwenye huu Unabii na sikutaka picha yangu iwekwe, hivyo basi nilikuwa nikiomba na kuuliza YAHUVEH mbona picha yangu iwekwe na Akaniambia, �Ninapo MIMI YAHUVEH, angalia uso wako katika upendo WANGU Ninaziangalia nyuso za maadui katika hasira YANGU.�

*******

Wakati mimi, Elisabeth (Elisheva), nilikuwa nikiomba hii Yom Kippur mbele ya Kiti cha Enzi cha YAHUVEH nilikuwa nikinung�unika kwake ABBA YAHUVEH kuhusu mashambulizi ya utata, udanganyifu na uzushi mno yalitoka kwa wale ambao wanajiita Wakristo na nikaMskia ABBA YAHUVEH Akisema, �Ungewaambia nini wangekuwa mbele ya kiti CHANGU cha Enzi sasa hivi kuhukumiwa,� na Aliweka kwenye moyo wangu kutaja majina ya maadui wa YAHUVEH na hii Huduma na niMuulize Awanyamazishe maadui wetu. Nimepigana na mwili kwa sababu sikujua ABBA YAHUVEH angenitaka niweke haya maombi mbele ya dunia lakini YAHUVEH Amesema Anataka maadui wajue majina yao yalipelekwa KWAKE hii Yom Kippur. Hili ni mojawapo la jambo la kufedhehesha mno nishawahi fanya kwa sababu nachukia maadui wanaponiona nikiwa hivi, lakini hata hivyo natii.

Ombi laanza:

[Elisabeth (Elisheva):] Hii ni Yom Kippur ABBA YAH. Na nilikuja tu mbele ZAKO hii Yom Kippur ABBA YAH. Na nilikuambia tu na niliifanya kwa machozi na nikasema �Nalia kilio mbele ZAKO�, nilipokuwa nimesomewa tena Unabii, BABA wa Mbinguni. Na neno moja lilikuwa limeandikwa vibaya, BABA wa Mbinguni. �Nini lilikuwa jina la huo Unabii? Ni nini jina la huo Unabii uliokuwa ukisoma?

[Elisabeth (Elisheva):] �Oh Israeli, Wapi Kafara yenu ya Damu?� na kulikuwa na neno moja lililokuwa limeandikwa vibaya, BABA wa Mbinguni. Pale ambapo hapakutakiwa kuwa na �pasipo�, palitakikana kuwa na �kubali�.

[Elisabeth (Elisheva):] Iliandikwa na mtu mwengine. Hawakuwa wameweka koma pale. Kulikuwa na neno lililokuwa limeandikwa vibaya, na nilikuwa tu� Na badala ya kusema �kubali� (K-U-B-A-L-I), walikuwa wameweka �pasipo� (P-A-S-I-P-O). Na ikaibadilisha. Nilikuwa nalia tu mbele za YAH na nilikuwa nikisema �sikuuliza kuwa Nabii.� WATU NATAKA HII IWE KWENYE REKODI! Ni �

Ndio, Aniambia nilitaka. Lakini umbali wa panaponihusu, nilikuwa namlilia YAHUVEH na nataka watu waelewe hili jambo. Mimi sijivuni kwa kiburi. Daima nalia mbele za YAHUVEH. Mimi nahofu kutopata neno moja sahihi. Na hii Yom Kippur, nilikuwa nalia na bado nalia. �akh, nachukia wakati maadui wanaponiona hivi �

Lakini nilikuwa nasema, �ABBA YAHUVEH na Mpendwa YAHUSHUA ha MASHIACH, ninaenda kusimama mbele ya Kiti chako cha Enzi na nitawajibika kwa maneno ambayo yamenenwa kutoka kwa hiki kinywa. � lakini najua ni YAKO.

-- Lakini kama neno moja lililonukuliwa ni makosa, kama � kama neno moja limewachwa nje�

�� kwa sababu Unaongea kwa upesi mno, Unapoongea nami: Ninaomba katika Ndimi Takatifu na wakati huo huo akili yangu inasikia kile ambacho unasema, lakini kinywa changu wakati mwingine kina shida ya kuenda na mwendo wako � ili kiweze kuweka kwa Kimombo (1 Wakorintho 14:6-13). Na kunaweza kuwa na neno dogo limekosekana: �ya� ama �ni�. Ama ninaweza ngoja tu kusikia kile ambacho unaenda kusema, na naweza sema �na�.

�Na ni� tu, hiki kipawa ni tete sana. Hiki, hiki, hiki kipawa ni kitu sielewi. Hiki kipawa ni cha kipekee. Sijui mtu yeyote ambaye anacho. Nataka tu kukutana na mtu mwingine ambaye anacho � katika hii miaka yote�.

Na nilikuwa tu naKUlilia na nilisikia neno moja limenukuliwa kimakosa. � Sasa watafsiri wote watabidi kupitia mzigo wa kurudi kwa ule Unabii � nambari gani?

Ni 63? Hata hivyo na um� Nataka tu kusema mbele ya dunia: Unajua, nafanya kadri niwezavyo. Nazidi kusema hiki ni kitu cha kutisha kuwa Nabii �kitu cha kutisha. Najua Bibilia yasema kuwa hiki ni kipawa kutoka kwa vipawa vingine vyote ambavyo vinapewa; ni kile ambacho watu wanatakiwa wawe wakikiombea, lakini yote nataka kusema [ni] ni kitu cha kutisha.

Na ninazidi kulia, na ninazidi kuMwambia ABBA YAH, �Sikukiulizia, sikukiulizia. Sikuuliza kuwa Nabii. Sikuuliza kuwa kinywa CHAKO kwa Mataifa. Hii inatisha mno�.

Na Anazidi kuniambia kitu kile kile, �Lakini eeh ndio uliulizia Elisabeth [Elisheva]. Uliuliza Mbinguni. Ulijitolea kwa ajili ya hii na siku moja Nitakuhakikishia� (Yeremia 1:5). �Lakini saa hii, katika mwili wangu, najua tu hii: niko karibu tayari kutoa Unabii mpya, kwa sababu Maneno yalianza kutoka na wakati �sikutarajia�.

Usiwahi, wahi, wahi, wahi, wahi � Mtu alisema aliyeniandikia� Kakangu wa dhamana Caesar alikuwa ameniandikia (na anatoka Singapore). Na alisema, �Lolote ufanyalo Elisabeth [Elisheva]� _(Nilisoma tu hii Yom Kippur. Nampenda kwa dhati. Yeye ni ndugu mpya katika YAHUSHUA kwangu. Yeye ni Nabiii pia, lakini yeye ni mnyenyekevu sana na hata hataki aitwe Nabii). Na alisema, �chochote ufanyacho, usiabudu kipawa. Usifanye kipawa sanamu� �

Hiki, hiki kipawa sio sanamu. Hata siulizi � Zinafanyika tu. [Maneno ya Kinabii na Unabii], zaja tu. Wale ambao wamenizingira wanajua: maneno hayo yataanza tu kutoka kwa midomo yangu na huwa wakati �sitarajii�. Na usiku huu tu � nilikuwa nimemaliza tu kumwambia YAHUVEH, �kama ingekuwa dakika 3 [zilizopita] ingekuwa muujiza.�

Sijui mbona ilichukua miaka mingi sana. � Mwaka gani? 2002! [Katika] 2002 kulikuwa na neno lililo tafsiriwa kimakosa, neno lililoandikwa makosa na halikuwa na kipumuo na kikomo [pale ambapo] zilitakiwa kuwa.

� Lakini wakati YAH Anapoongea na mimi, mimi ni kama Nabii wa Kale. YEYE ha� wakati mwingi, hata sipumui. Natoka tu kwa ndimi hadi kuongea katika Kimombo. Kwa hivyo ni vigumu sana kuweza kugawanya, pale YAH Ataka kugawanya, maneno.

Kwa hivyo katika kusema hayo yote, nilikuwa nataka tu mujue kuwa lolote linaloenda kutoka sasa hivi, nilikuwa tu nimesihi na kuomba mbele ya Kiti cha Enzi cha YAHUVEH na kusema, �Sikuulizia kuwa Nabii � hii inatisha sana�.

Ukweli ni, wakati hakuna ujumbe katikati [Maneno ya Unabii], mimi �ni kama� navuta pumzi ya heri � kwa sababu wakati huo hakuna atakaye nirusha na mawe zaidi. Nilikuwa nikisema, �Tafadhali usipige mawe mjumbe.� [Kwa sababu, niamini, napigwa na mawe mengi. � Sio mawe ni majabali� na waongo kweli wanapiga laini� na wazushi (Math. 5:11-12). Na nyinyi ambao hamutetei hii huduma, na ilhali mwajua ukweli unatoka katika hii Huduma

[NYINYI] MNAENDA KUWAJIBIKA, MBELE YA YAHUVEH! Kwa sababu mnatengeneza kazi inakuwa ngumu zaidi. Mnatakiwa muwe mnatuma barua pepe mingi zaidi kwa hawa maadui. Mnatakiwa muwe mkisema, �CHUKUENI HATUA MOJA KWA MOJA AMA NYAMAZA! Thibitisha ushahidi.� Kwa sababu, mujue nini? Hawana ushahidi kwamba mimi ni nabii wa uongo!

Hata wanachukua �jina� langu na kusema �hili ndilo jina lake la kweli�. WATU WAJINGA! Mwawezaje thubutu? Jinsi gani mnathubutu kuchukua uongo! Mimi ni mwinjilisti. Nimeenda dunia kote na maana yake ya sisi kutembea ni kuwa sisi ni wainjilisti. Na ninayo kwa ushuhuda wangu: Nilikuwa nakimbia kutoka kwa aliyekuwa bwanangu muuaji ambaye ali� ninayo yote katika ushuhuda wangu. Kama wewe ni kipofu sana na hauwezi isoma na wale ambao mnaamini uongo huu, MUTAWAJIBIKA! MUTAWAJIBIKA!

Katika hii siku ya Yom Kippur najiskia, na kila kitu ndani mwangu, kwamba ni waonye. Kila mtu mmoja ambaye amekuja katika tovuti ya Huduma hii miaka hii yote na umelishwa: Mnaenda katika kanisa zenu zilizopangwa. Mnaenda katika Jumapili yenu na mnaweka sadaka zenu ndogo katika shani ya sadaka, mnahakikisha kutoa fungu la kumi.

�Lakini pale pahali mnapopata nyama ya kiroho, pale pahali ambapo mnategemea, YAHU kuongea kutoka, (kwa sababu kwa uhakika sio katika kanisa zenu za utaratibu ambako Manabii wanaongea ama kuwapa kitu chochote kipya), hampeani chochote. Mnafikiri tu nibure, kwa sababu iko kwa mtandao. Hamuhesabu gharama inayotugharimu. Hamuhesabu mateso ambayo inatugharimu. Hamuhesabu udhia. Hamuhesabu yoyote ya hayo. Mnaichukua tu na kuila, na kukimbia! Hamujali hata kutetea, mnapotuona tumesulubiwa mbele ya kila mtu. HATA HAMJALI!?

Mnajua ni kwa nini? Kwa sababu haiwagharimu chochote. Imenigharimu KILA KITU, na imenigharimu afya yangu. [Elisabeth (Elisheva) analia].

Katika hii siku ya Yom Kippur katika machozi nawaambia, YAHUSHUA Anarudi, lakini harudii wale ambao wanakaa katika makanisa ya utaratibu walioridhika kibinafsi sana kwa sababu wanaenda kwa kanisa Jumapili. Hawarudii [nyinyi] kama hamuMuweki wa kwanza katika mapenzi yenu na maisha yenu. Hamuendi kuMuona. Hamuendi kuMuona. Anaenda kuwaacha katika Dhiki Kuu.

Mnaenda kushangaa ni kwa nini � wale ambao hamukufanya chochote kunitetea, wale ambao kabisa hamjainua kidole kusaidia Huduma hii. Tuko katika lugha nyingi sasa: angalau lugha 14 na zaidi zaja. Lakini wale ambao hamjafanya chochote, hata neno la kutia moyo, hakuna chochote: Je, mnatambua kuwa YAHUVEH Atawahukumu kwa hii? Je, mnatambua hata mukifika Mbinguni, je, mnatambua, kuwa tuzo zitachukuliwa kutoka kwenu [kwa vitu] ambavyo �mliMtendea vema� hapa katika dunia hii.

Sijui ni nini YAH yuko tayari kusema. Kwa hivyo nilitaka tu hii iwe kwenye rekodi, kwa sababu� Kama nilivyosema, ni kama lugha zaidi tunazofikia� Oh, nafsi nyingi zaidi zinakuja kwa YAHUSHUA ha MASHIACH na, ah! si waongo wajitokeza kwa laini: wazushi, watumishi wa shetani, watoto wa shetani.

Naweza himili wanaomwabudu shetani. Eh bwana, wanatuma laana zao na kuniloga na wanafanya matambiko yao na sadaka zao pia wanatuma barua zao za pepe za chuki, pia wanatishia maisha yangu. Ebo! hii takataka yote, uchawi wao! Hiyo takataka yote�

Lakini mwajua ni nani wagumu zaidi kuwahimili? Wale wanaodai [jina] na kuomba katika Jina la Yesu Kristo. Wale wanaodai wamo njiani wanaelekea Mbinguni. Hao ndio wagumu zaidi, kwa sababu hata, wao si Wakristo. Wana jina pekee, hawana uhusiano na YAHUSHUA. Hawana Kristo ndani mwao. Hawajatiwa mafuta � ama wangejua kwamba Huduma yoyote ambayo imekuwa kwenye mtandao tangu 1995 [ikizaa matunda mazuri, ni ya YAHUVEH].

Na mimi ni �Mhubiri aliyeteuliwa na kupewa leseni�. Jambo kubwa [sio muhimu]. Kuteuliwa kwangu kwa kweli kwatoka Mbinguni. Na ndio, unaweza kuwa umewekewa mikono na �Mimi ni Mtume�. Jambo kubwa �katika macho ya dunia. Hilo halimaanishi lolote ila: kuwa na mtu mwengine akuwekee mikono na kupata �uteuzi� [wao]. Kuteuliwa kwangu wa kuwa Mtume na Nabii unatoka Mbinguni (Wagalatia 1:15-16).

Na mwaweza kisia nini? Jina lake nani? Jina lake nani? Jina la huyo mwanamume ni nani, katika New Zealand, na mimi husahau kila wakati?

Andrew Strom na shule yako ya Nabii! Unaeza chukua shule yako ya Nabii na unajua kwenye unaeza itupa!

Hauwezi funza mtu yeyote kuwa Nabii (1 Yohana 2:27) na hauwezi toza yeyote pesa kuwa Nabii (Mathayo 10:8b; Mathayo 21:13). Wewe ni muongo. Umekuwa muongo tangu nikutane na wewe, katika 1995 na uliniweka kwenye orodha yako ya watu wa kuuawa.

UKO KWENYE ORODHA YA YAHUVEH YA KUUAWA ANDREW STROM!

Unasema, �Jihadharini na wale: ambao wanahubiri kwamba inabidi utii Amri Kumi na wanaoamini na kuambia wengine kwamba �kama hawataheshimu siku ya Sabato na kuiweka iwe takatifu, jihadharini�. � Mkimbieni yeyote anayehubiri Torati! Wakimbieni!�

Kisia nini, Andrew Strom? Ulikuwa mwabudu shetani wakati huo na wewe ni mwabudu shetani sasa! Nataka hii kwenye rekodi katika lugha 14 tofauti: Andrew Strom ni mwabudu shetani!

Unanisikia? � Wewe ni mwabudu shetani.

Najua ulianza katika uchawi, na najua hayo kwa ushuhuda wako. Na Pamela Martin, aliniweka kwenye orodha yake ya watu wa kuuawa. Huyo alikuwa rafiki yako, yungali kule Texas.

Na sijakusahau, Pamela Martin. Sijasahau ulichofanya.

Na sijasahau Andrew Strom alisema hakuna neno safi la MUNGU, kwamba yote lazima ilikuwa ni mwili �na aliniweka chini kwa ajili ya hiyo katika 1995.

Na sijasahau Pamela Martin kwenye hiyo simu ambapo uliniambia kuwa ulimuogopa Andrew Strom kwa sababu alikuwa na nguvu, na ulisema kwamba zilikuwa nguvu za kishetani.

Kisia nini Andrew Strom? Kisia nini Craig Martin? Sijawasahau. Sijasahau yeyote kati yenu. Na nataka hii tu [kwenye rekodi]� Sasa ananishambulia.

YAHSHUA katika Yom Kippur hajawasahau! YAHUVEH Anataka hii kwenye rekodi! Hajawasahau!

Wewe ambaye unajiita �Malcom Heap�, �chungu ya samadi� wewe! Wewe, ambaye unaandika kitabu kuhusu Eliyah na sasa unadai wewe ni Eliyah! Wewe ambaye unaenda na kutengeza hizi tovuti na kunisingizia na kuninajisi!

Wewe unayejulikana kama Mkristo mshauri kwa majina Stephen Rossi Sr. Wewe, ambaye nilimara moja ita ndugu na kushauri! Wewe, ambaye Unabii 111 ulikuwa kwa minajili ya � kama Baraka � na, unatema kama laana kwa sababu hautaki kupeana talaka (kwa sababu inagharimu pesa nyingi)!

Wewe si Mkristo mshauri! Wewe ni shetani aliyejificha! Wewe ni Yuda na ninaiamrisha mbele ya dunia na sio hiyo pekee, (siamrishi, lakini binadam) uko katika taabu kwa sababu katika Yom Kippur � (sikujua hii yoyote ilikuwa inaenda kutendeka nilianza tu kuomba katika ndimi taktaifu) � YAHUVEH Anataka mimi nikuweke kwenye notisi. Unajua hatima ya Yuda? Kisia nini Steve Rossi Sr.? Hiyo ni hatima yako.

Mwana wako mwenyewe, mwana wako mwenyewe wa damu sasa anatumikia hii Huduma kama mtumishi kwa vijana. Stephen Rossi Jr. ni mwana wetu, mwana wetu! Tunampenda. Tumemshauri na yeye ni mtumishi kwa vijana na yeye sio kitu chochote kama wewe. Na hata hadai damu yako tena. Ana tu damu ya YAHUSHUA ha MASHIACH inayompitia.

Naweka maadui kwenye notisi.

Ninaweka Zeph Daniels kwenye notisi. YAHUVEH Anakukumbuka! Anakukumbuka katika hii siku ya Yom Kippur, kwa sababu wewe ni sehemu ya yote. Na ninajua kuna wengine wengi�

Watu, nahitaji usaidizi wenu. Watakatifu ambao hii Huduma imebariki, nyinyi, katika njia yoyote, thibitisheni. Thibitisheni! (kwa sababu inaenda kuwabidi kuthibitisha mbele ya YAHUVEH siku moja. Nini mulifanya kuinua mzigo wowote kutoka kwetu? Nini mulifanya kwa njia yoyote, sura ama mfano kutusaidia? Je, mulitusaidia? Je, mulituzuia? Je, mulitutia moyo?) Namaanisha maneno ni mazuri, na tunafahamu hayo maneno ya kutia moyo, lakini tunahitaji usaidizi.

Lazima tuwe na usaidizi. Kazi ni kubwa mno!

Tunafikia mataifa mengi sasa. Tunajaribu kuonya kuhusu Sherrie Shriner. Tunajaribu kuonya kuhusu Linda Newkirk�

Linda Newkirk. Tumetoka tu kupata mtu akituandikia na kutuambia: Anawaeka watu mateka. Yuko kule anaonyesha nguvu zake za kimapepo na keshetani.

Jinsi gani katika dunia mnaweza nyinyi watu nunua vitabu vyovyote kutoka kwa Linda Newkirk? Jinsi gani katika dunia munaweza weka mantiki chochote anasema na Bibilia: �kujifungua mwanamme mtoto�? �Kuwa na mimba ya miezi 17�? Mungu wangu, watu! Jambo gani na nyinyi? Mwanamke huyu ni hatari. Yeye ni shetani wa kujificha.

Naye Sherrie Shriner! MUNGU wangu! Muko kule nje na munazika ogoni. Ogoni! �hiyo ni �kifuatilio� �ogoni yake �maalum�. Ogoni maalum ambayo inatakikana iwe ikiepusha na �viumbe kutoka sayari nyingine�, ambayo inatakikana iwe ikiepusha na mapepo, ambayo inatakikana iwe ikiharibu �meli za hewani�* katika anga.

Nyinyi kweli mu wajinga hivo?! Samahani, lakini ABBA YAHUVEH Amekasirika. Mnajiita kwa jina Mkristo na hata hamna Mkristo ndani mwenu. Mnategemea mwanamke kuwauzia ogoni kuipanda kwenye shamba lenu � kuipanda kote duniani.

Je, kwani hamuelewi? Je, hamujasoma Maaguzi Matakatifu? Mumenasa magonjwa kwenu. Mumenasa mapepo kwenu, kwa kufanya haya. Mumenasa viumbe kutoka sayari nyingine. � mnamo �UFO� (Vyombo Visivyojulikana Vianvyopaa) vitakuja, vitajua kwenye mpo. Mnaenda kuwajibika kwa kila kitu mlichotenda.

Kusema kwamba chochote chaweza simama dhidi ya pepo, pasipo Jina na Damu ya YAHUSHUA ha MASHIACH, wewe kweli, kweli, kweli, kweli u kipofu na maskio yako kweli, kweli ni kiziwi! Ama uko chini ya pepo la kudhibiti akili ama kumiliki akili kwa hila � ambayo uko, kama unafuata Sherrie Shriner ama Linda Newkirk.

Tunaenda kuweka barua ambazo zimekuwa zikija zikionya kuhusu Linda Newkirk. Huyu mwanamke ni hatari, hatari!

Yeye ana watu wanakuja kwenye mali yake, akiwaambia waje, anaenda kuwaweka salama. Anawafungia kwenye makazi anaita pahali pa kulala, halafu anahakikisha kufuli liko upande wa nje ili aweze kukufungia ndani.

Nawaambieni watu, mnaenda kuwajibika. Namaanisha, mbona ni huyu nabii ambaye hana budi kuinuka na kuwaonya watu juu ya hawa maadui wakishetani? Mbona lazima iwe ni mimi? Na orodha ni ndefu tena saana.

Rick Joyner na ule harakati wa �Wana wa Mungu Walioonyeshwa waziwazi� . Hamjaanza hata kuelewa ukweli wa kwa nini jina lake ni �Morningstar Publishing� [NyotayaAsubuhi Kuchapisha]. Yeye anajipatia jina� ni nani NyotayaAsubuhi aliyeanguka kutoka mbinguni? Je, yeyote anaelewa ya kwamba huyo alikuwa Lusifa? Je, ninyi hamuelewi ni nini harakati ya �Wana wa Mungu Walioonyeshwa wazi� inahusu? Wanamrisha kwamba wao ni mungu, masalaale! Watu amkeni! Amkeni!

Mimi ni kama Nabii wa Kale na nimechoshwa! Nimechoshwa na ujinga. Nimechoshwa na masikio viziwi. Nimechoshwa na macho vipofu. Wacheni magamba yaanguke kutoka machoni mwenu, na muone kinachoendelea! Na hayo ndiyo ninayo ya kusema hii Yom Kippur.

Najua kwamba YAH ana ujumbe ambao ulianza kutoka. Nilianza kuongea katika ndimi takatifu, lakini hii ni siku ya hukumu pia. Hii ndiyo hiyo.

Baadhi ya hivi vitu� � Vitu hivi vyote ambavyo nimetaja � sio baadhi � kila kitu ambacho nimesema, kimewekwa kwenye moyo wangu. YAHUVEH Amekasirika. AMEKASIRIKA!

Wako wapi wale watafsiri wengine ambao wameitwa kujumuika na Huduma hii? Mbona hamjitolei muda wenu? Tunapata hizi barua pepe zikisema, �Oh, nimeitwa kuwa mtafsiri wenu, lakini itawagharimu �kiaisi hiki� cha pesa�. ATI NINI! Hatulipishi chochote kuweka Maaguzi pale juu kwa kimombo. Kwa nini basi mka (nyinyi mnaoamini kwamba Huduma hii inazungumza ukweli) � kwa nini basi mnaweza kusema mimi nabidi kuwalipa kiasi hiki cha pesa?

Watafsiri wetu wanatia bidii. Wana ajira za muda wote na bado wanashughulisha muda mwingi saana katika kuchukua Maaguzi matakatifu, kwa kuchukua ujumbe kutoka kwa Huduma hii na wanaiweka katika hizi lugha zote tofauti. Siwezi hata waambia kiasi gani wao huteseka ili kufanya haya, kiasi gani cha muda wanatumia kufanya haya, kiasi gani cha usingizi wanapoteza. Siwezi hata anza.

Lakini zawadi zao zitawafuata hadi Mbinguni. Watakutana na nafsi, kama sisi tutakavyo kutana na nafsi, na wote watapewa shukrani kibinafsi, wanaposimama kando yetu. Tunajua tutakapoondoka hapa duniani, tutaondoka na zawadi kubwa zaidi ya yote, kwamba tuliongoza nafsi kwa YAHUSHUA ha MASHIACH, kwamba tulihubiri utakatifu.

Kwa hivyo, hayo ndiyo nilionayo kusema hii Yom Kippur. Sasa ninaenda kuona nini kingine YAHUVEH Anayo mimi kusema, kwa sababu haya yote, haya yote yako kwenye moyo wa YAH sasa hivi� haya yote.

YAHUSHUA Anarudi. Dhiki Kuu iko karibu juu yetu na ole iwe kwenu mliokule katika tovuti ya Jim Bramlett kwenye �Njiwa 5�. Jim Bramlett uko katika shida kubwa. Uko katika matatizo mengi. Unaenda kusimama mbele ya YAHUVEH. Na unaenda kuwajibika kwa kila wakati mtu alisisimka: �Hii ndiyo siku YAHUSHUA Anakuja�, �hii ndio siku ya unyakuzi�.

Na kila mmoja wenu kwenye jukwaa la �Njiwa 5� ambaye pia amefanya hivi pamoja na Jim Bramlett, kila mmoja wenu ambaye amesema, �Hii ndiyo hiyo, hii ndiyo siku ��

Huyo mhubiri � . Ni nini jina la mhubiri huyo?

Oh F.M. Riley, wewe Mbaptisti, wewe. Unaenda kweli kusimama mbele za YAHUVEH katika njia kubwa, kubwa. Wewe ambaye unafunza watu kwamba wanaweza tenda dhambi na �haijalishi nini wanachofanya, haijalishi kama wako katika kitendo cha uzinzi, haijalishi nini unachofanya bora unapo� bora unajua hii��.

Unaona, hii ni injili yako, sio Injili ya Bibilia, F.M. Riley. Unaenda kusimama mbele za YAHUVEH aliYEkasirika. Utatambua, kwa uliyotenda � umefunza watu wanaweza tenda dhambi na bado watanyakuliwa na kuenda Mbinguni. �Ni sawa, bora tu useme hilo ombi la wokovu, usijali, furahia! Unyakuzi unapokuja hauendi kuwa katika Dhiki Kuu.�

F.M. Riley, nimekuangalia kwenye �Njiwa 5� ukipeana tarehe, baada ya tarehe, baada ya tarehe.

Marilyn Agee, najua wewe ni nani. Nilianza na wewe katika mwaka wa 1995. Umefanya jambo lile lile. �Huu ndio mwaka wa unyakuzi . Huu ndio mwezi. Hii ndiyo Rosh Hashanah. �Hii� ndiyo siku ya Pentekoste� � Sijui [kwa sababu wewe, Marilyn Agee, umepeana tarehe nyingi saana].

Nyinyi wote katika � Njiwa 5� mna tarehe nyingi tofauti na watu wamebanangika. Kila wakati wanapo kweli amini, wengine hata watapata kuokolewa kwa sababu wanaogopa kuwachwa nyuma hivyo wanakimbilia kwa magoti yao na kuanguka kwa magoti yao na kusema, �Sitaki kuwachwa nyuma�.

F. M. Riley alisema �hii� ndiyo tarehe. Jim Bramlett alisema �hii� ndiyo tarehe. Marilyn Agee alisema �hii� ndiyo siku. Kisia nini, nyinyi wote mnaenda kuwajibika, kwa sababu hizi nafsi za thamani hiyo inapo fanyika na wanaenda na wanaanguka kwa magoti yao na wanatubu mbele ya YAHUSHUA na wanaMpa maisha yao, halafu hiyo siku inapita � hakuna unyakuzi�

Kwa nini katika dunia wamwamini YAHUSHUA kwa kitu kingine chochote � kwamba Aliwasamehe dhambi zao ama kitu kingine chochote � mlipowadanganya na kuwaahidi unyakuzi? Mliwaahidi hiyo tarehe fulani. Na �Njiwa 5� ole na iwe kwenu. Katika hii siku, YAHUVEH Anasema kila mtu ambaye ameshirikiana na �Njiwa 5�.

Ninaenda kutaja baadhi ya majina. Donna Cothran. Sijui kwa nini, lakini YAH Anataja jina lako. Ulikuwa mmoja wa hii Huduma. Ulikuwa unanipa maneno ya kutia moyo. Sasa unakaa katika Njiwa 5 na unaamini uongo. Sasa unashirikiana na uongo na unaenda kuwajibika. Sijui kwa nini YAH Anaweka watu fulani kwangu, [kwenye akili yangu kusema,] sasa hivi. Sielewi lakini mnaenda kusikia ujumbe. Kila mtu, kila mtu: �Njiwa 5�, jihadharini na �Njiwa 5�. Wao wanawajenga ili mwanguke kwa kishindo kikubwa na wao wote wanaenda kuwajibika.

YAHUVEH haichukulii kimzaha. Haichukulii kimzaha mnaposimama na kusema �hii� ndiyo siku. Hii Huduma haifanyi hivyo.

Nimeambiwa, [nimeambiwa] vyema (na nasimama mbele ya YAHUVEH sasa hivi [ninaposema] malaika, malaika watakatifu walikuja kwangu na kuniambia kwamba watarudi na kuniambia tarehe. Si kitu chochote cha mwili wangu. Nimewaona, nimegusa mbawa zao. Ushuhuda wangu uko pale chini.

Najua kwamba Ameniita Mtangazaji WAKE. Najua kwamba najua kwamba najua. Mnaweza nidhihaki yote mtakayo maadui. Sio jina ambalo nilijitengenezea mwenyewe. Huo ni ujinga! Lakini najua lazima kuwepo na mtangazaji atakaye tangaza kwa sauti kubwa, �Tazama Bwana Harusi yuaja�. Na najua kwamba najua kwamba najua kwamba yale YAHUSHUA Ameniambia, yatatendeka na malaika Watakatifu watarudi. (Na mimi sikwendi kwa kitu kingine chochote zaidi ya kile YAH Amesema: YAHUSHUA Anarudi Rosh Hashanah. Itakuwa Sabato na Msifuni YAHUSHUA, si lazima twende kwa kalenda ya jua vinginevyo huo ni mwaka wa 2020. Tumeambiwa twende kwa kalenda ya mwezi (Hes. 28:11a, 14b) vile ambavyo YAH Aliweka mwanzoni).

Kwa hivyo vitu hivi vyote viko juu ya moyo wa YAH siku hii ya Yom Kippur. Sikujua kwamba nilikuwa naenda kuwa na ujumbe wa Yom Kippur. Sikujua yoyote haya. Nilikuwa tu nalia na nikisema, �Haikubidi niwe Nabii, ni jambo la kutisha� na kitu kifuatacho najua ninaomba katika ndimi takatifu.

Sasa mimi naenda kuona nini ABBA YAH Anayo ya kusema. Hii tu, �Ole na iwe kwa maadui.� Ole, ole, ole, ole kwa maadui wa ABBA YAHUVEH! Hata kama unajiita Mkristo, kama kweli hauna uhusiano, uhusiano wa upendo na utiifu kwa YAHUSHUA ha MASHIACH basi, nakuambia hii, (mtu yeyote ambaye anarusha mawe, mtu yeyote ambaye anakashifu na kudanganya juu ya Huduma hii sasa hivi� yeyote, yeyote, yeyote ambaye anafanya hivi vitu na hatetei Huduma hii wakati anapoona hii ikija kupita na hausaidii hii Huduma na haututii moyo): Najua hii kwamba ABBA YAH Anasema, �unaenda kuwajibika.�

Mtawajibika. Kama kwa mara nyingi ulivyopuuza vilio vyetu vya msaada, kama kwa mara nyingi ulivyohisi mguso wa RUACH ha KODESH juu yako Akisema, �yafaa kweli usaidie hiyo Huduma (hata kama hauna mingi � yafaa ufanye kitu kusaidia hiyo Huduma)��. Wale ambao wanatakiwa wawe watafsiri kama kwa mara nyingi ulipokuwa umesikia, �unaijua lugha vizuri. Unaweza kushughulikia hili. Umeitwa kufanya hili�. Lakini bado munanyamazisha hizo sauti �.

Hiyo ndiyo mara ngapi YAHUVEH na YAHUSHUA WAlisema WAtaziba masikio YAO munapoomba (Isaya 59:2). Kama kwa mara mingi mulivyozuia mkono wenu kutusaidia, ndivyo mara ngapi YAHUVEH Atazuia mkono WAKE kuwasaidia. Na mutakuwa katika Dhiki Kuu.

Na maanisha� Ningependa niteseke sasa na Bi Harusi wa kweli wa YAHUSHUA ha MASHIACH anateseka kwa sasa. Tunateswa. Lakini katika Dhiki Kuu � nyinyi hamna dhana, hamna wazo la mateso yanayowasubiri nyinyi. Hamna lolote � na mnaweza cheza michezo yenu midogo ya kanisa, mnaweza sema, �Oh lakini mimi lazima nijumuike na ushirika na lazima niende katika kanisa la Jumapili hata kama hawanilishi nyama yoyote ya kiroho, hata kama ninazidi kusikia ujumbe ule ule wa maziwa, hata kama hawatahubiri dhidi ya dhambi. Lazima niende katika Kanisa hili la Jumapili, unaona, kwa sababu vinginevyo sitakuwa na uhusiano na Mungu. Lazima nitegemee watu wengine kuhakikisha kwamba ninaenda kanisani ili waone kwamba ninaenda kanisani.�

Unaona yote ni mchezo wa kanisa, sio? Wewe ni mpasha moto viti sivo? Wewe ambaye unafikiri kwamba lazima uwe na mtu mwingine kukuweka takatifu, lazima uwe na kanisa. Lazima uwe na mhubiri kuhakikisha kwamba unakaa takatifu. Uko matatani. Hauna hata uhusiano na YAHUSHUA basi. Uko katika matatizo makubwa.

Ni nini mnaenda kufanya katika Dhiki Kuu, ambako kanisa la serikali tu linaenda kuwa huko? Wale tu wanaomuabudu huyo mnyama, wao tu ndio wale wanaoenda kuwa na kanisa kwenye kona. Hauwezi ishi sasa bila kanisa? Hauwezi tembea pekee yako sasa na YAHUSHUA? Uko katika matatizo makubwa. Ni barua ngapi tunazopata zikisema, �Oh, ni lazima niwe na ushirika�, na hata unapoonywa bado unaenda nje ukitafuta kanisa lingine.

Na Hekalu za Wayahudi wa Kimesaniki �. Inabidi niwaonye watu. Tuna mzigo juu yetu, mzigo mpya juu yetu na kwamba ni hili:

YAHUSHUA Ameonya kuhusu makanisa ya utaratibu. Lakini sasa, ni nani makanisa ya Babeli? Mnaenda kwa Mchungaji wenu na nyinyi mnaokaa katika makanisa yenu ya utaratibu na mmewaonya na mmewaambia, �Angalieni hii kweli si Sabato� lakini Mchungaji wenu amewagusa kwenye kichwa na akasema, �Ni sawa, siku yoyote itafanya,� na wamechukua yale Maandiko ambayo Paulu amenena na wameyafurukuta tena na tena neno limekuja na kusema Paulu alikuwa akiongea na Wayahudi aliposema, �Hebu mtu asiwahukumu juu ya siku ambayo ni Sabato�. Lakini tena, na tena, na tena mmechukua huo uongo. Mnaamini huo uongo. Mliamini huyo Mchungaji.

Lakini sasa hebu tupatane na Wayahudi wa Kimasihi. Mumetoa nje JINA YAH kutoka JINA YAHUSHUA. Mumeweka jina �Yes� pale. Ni nini �Yes�? JINA la BABA si �Yes�. Lakini JINA la BABA ABBA YAHUVEH Linatakiwa Lijumuishwe katika [JINA la] MWANA WAKE wa pekee na linaitwa (Y-A-H) YAH.

Ni Hekalu ngapi za Wayahudi wa Kimasihi zinafuata mila za Kiorthodoksi na tamaduni zilizotengenezwa na watu? Ni wangapi tu kabisa, kabisa wanaenda mbali katika njia za Kiyahudi za Kiothodoksi na njia za kisheria? Wanasahau kuwaambia watu � kama katika Yom Kippur sasa hivi � tuna upatanisho wa dhambi zetu. Hatuhitaji kuhuzunika leo. Tunaweza kufarijiwa na kujua: YAHUSHUA ni MASHIACH wetu. YEYE ni Upatanisho kamili wa Damu. YEYE pekee ndiye Upatanisho kamili wa Damu uliofanywa kwa ajili ya dhambi zetu. Tumesamehewa. Wale ambao kweli, kweli tunaamini tumeoshwa na Damu na Damu YAKE Iliyomwagika, wale ambao tunaishi masiha yetu kila siku kuMpendeza, tuna faraja leo; hatuhitaji kupiga vifua vyetu na kusema, �Oh ole, ole kwangu, mimi ni mtenda dhambi�.

La, kila wakati tunapofanya kitu chochote kumkosea ABBA YAHUVEH wetu, kila wakati kwa haraka tunasema, �Oh YAHUSHUA tafadhali tusamehe.� Hatutafakari dhambi kabla. Hatutendi dhambi kimaksudi. Unapotenda dhambi kimaksudi, uko katika shida. Unafanyia mzaha Damu ya YAHUSHUA na Bibilia Inasema, �Muwe watakatifu kama MIMI nilivyo Mtakatifu�. Kwa hivyo musikwende tu mbio kwa Hekalu za Wayahudi wa Kimasihi. Bora muwe makini. Na baadhi ya hawa wanaoitwa marabbi, hawajui bora. Hawaelewi. Walifunzwa jina lilikuwa �Yeshua�, kama nilivyofunzwa mara ya kwanza jina lilikuwa �Yeshua�. Sikujua bora. Kwa hivyo muwaambie katika njia nzuri na muiseme hasa. Na mukitaka kuwapa moja wapo ya Unabii niliyopewa, [endeleeni].

Lakini usishangae kama haitatupwa nyuma usoni mwako, kwa sababu hawa wanaoitwa marabbi, hawaamini kuwa mwanamke anaweza kuwa kiongozi. (Lo, sinimepata kugundua hayo njia ile ngumu).

Lakini munajua nini? Simuiti mwananume yeyote rabbi. NinaYE lakini Rabbi Mmoja na JINA LAKE ni YAHUSHUA ha MASHIACH. YEYE ni Mkuu wa makuhani wakuu. Ni YEYE pekee, YEYE pekee ndiye Anastahili hicho cheo. Kwa hivyo tunawaonya tu. Tunawaonya mutakapoenda kwa Hekalu la Wayahudi wa Kimasihi: uSItarajie, usitarajie kupata kile unachopata katika hii Huduma na wakati usipo, hakikisha muende kwa yule kiongozi na hakikisha mumewaonya. Hakikisha upate wanaposema tu, �Mungu, Mungu, Mungu �� ni Mungu yupi kweli wanayemtumikia? (Mimi nilitambua hayo kwa njia ngumu pia. Ushuhuda wetu kuhusu haya utawekwa katika majira ya YAH kama kila kitu kingine).

Kwa hivyo haya ndiyo YAHUVEH Ameweka kwenye moyo wangu hii siku katika Yom Kippur, 2009.

Ni usiku wa 29 pale ambapo tupo, Ulayani, na ni mwanzo wa Yom Kippur (jioni).

Sasa ABBA YAHUVEH, nauliza tu, tafadhali Utapeana ujumbe? Ulianza kuongea ujumbe halafu Ukaanza kuongea kunipitia katika njia nimeongea. Ninauliza msamaha kama nimemkosea mtu yeyote. Nimewaita watu wengine wajinga, lakini naamini WEWE uliweka hilo neno katika kinywa changu, kwa sababu wako hivyo: Wanatenda na roho ya ujinga kuamini uongo, kutotetea kile wanachojua ni kweli.

Na kwa hivyo ABBA � [Elisabeth (Elisheva) anaanza kuomba katika Ndimi Takatifu.]

Unabii wa 115

Jihadharini Na Udikteta Wa Kiimla Unaokuja Marekani na Dunia!

[Kiimla, serikali ya kisasa ya mtu mmoja tu [Mtawala mwenye mamlaka ukomo; dhalimu.]ambamo serikali inajihusisha katika pande zote za jamii, ikiwemo maisha ya kila siku ya wananchi wake. Serikali ya kiimla inataka kudhibiti sio tu masuala yote ya kiuchumi na kisiasa lakini mitazamo, maadili na imani ya wakazi wake, ikifuta tofauti kati ya serikali na jamii. Wajibu wa raia kwa taifa inakuwa suala la msingi la jamii, na lengo la nchi ni kubadilisha jamii zilizopo na jamii kamilifu.

Kwa mataifa yaliyojulikana kawaida kama kiimla � Umoja wa Kisovyeti chini ya Stalin, Ujerumani ya Nazi, na Jamhuri ya Watu wa China chini ya Mao � Serikali za Kikomunisti za Umoja wa Kisovyeti na China.]

Katika Septemba 5, 2009 YAHUVEH Alikuwa Anaongelesha Elisabeth (Elisheva) akiwa analala na Alisema, �Udikteta wa Kiimla, Udikteta wa Kiimla, Udikteta wa Kiimla. Elisabeth (Elisheva) waonye, yule anayejiita rais wa Marekani anataka Marekani itawalwe na Udikteta wa Kiimla. Huduma za afya bora zitakuwa za matajiri tu. Kutakuwa tu na matabaka 2 ya watu, matajiri na wale ambao sasa wanachukuliwa kama tabaka la kati. Tabaka la kati litatumikia matajiri na maskini polepole watauawa kupitia chanjo za kulazimishwa, uavyaji mimba wa kulazimishwa na kunyimwa huduma za matibabu. Serikali itatawala kila kitu na wataamua ni nani ataishi na ni nani atakufa.

Neno la Unabii waanza:

Elisabeth [Elisheva], usithubuhtu, usithubutu! Usithubutu kuomba msamaha kwa neno moja ambalo limenenwa � kwa maana kila neno niliweka kinywani mwako.

Nimekuamuru utoe kitabu ambacho kina Unabii zote ndani mwake. Nimekuamuru utoe kitabu juu ya ni nani RUACH ha KODESH � ufunuo ambao Nilikupa katika siri. Lakini muda na muda tena mambo yamecheleweshwa.

Kwa sasa nakupa amri mpya, haya mambo yanapaswa kutolewa sasa kwenye sauti. Hii ni njia ya haraka kabisa ya kuiwasilisha kwa watu, kwa maana wakati ni mfupi mno na watu WANGU wanaangamia kwa kukosa maarifa (Hos 4:6)� kukosa maarifa ambayo Nimepeana katika Ujumbe za Kinabii Takatifu ambazo nimewaambia. Kuna haja ya haraka, kwa maana Dhiki Kuu kweli sasa yakaribia kwa kasi mno.

MIMI, YAHUVEH, naangalia jioni hii nilivyoangalia juu ya wale wanaondelea na kalenda nyingine [kalenda Jadi ya Wayahudi]. Wana tarehe nyingine lakini huu ujumbe haujachelewa. Najaribu kusema Najua mioyo yao. Bado wanafunga mbele ZANGU. Bado wanahuzunika kwa ajili ya dhambi zao na Ninawaonya, wakaribie YAHUSHUA kuliko hata mbeleni.

Kwa maana kuna U�

[Elisabeth (Elisheva) hawezi tamka hilo neno. Anasema, �Oh BABA ABBA YAHUVEH��]

Udikteta wa Kiimla. Udik�Udikteta wa kiimla�

[Elisabeth (Elisheva): �Naweza sikia hilo neno lakini ni gumu kulisema�].

�unaotafuta kufunika dunia nzima. Wanajua kama wanaweza upitisha Marekani�utafunika dunia. Jihadharini na �

Jihadharini na huu Udikteta wa kiimla, kwa maana watawaacha bila chaguo. Wanauchukua uhuru wenu wa kuongea. Watachukua mitandao yoyote ambayo itafunza ukweli. Watanyamazisha wanahabari wa kweli ambao wanataka kuonya ni nini Serikali zinafanya. Watadhibiti yote yanayoandikwa.

Marekani, mna �rais wa Marekani� ambaye shujaa wake ni Hitler. Anatafuta nguvu sawa. Ana utata wa Umesianiki (MASIYA) sawa [na Hitler], anajiona kama Masiya. Yeye ni Dikteta wa Kiimla moyoni mwake. Aliwaahidi mabadiliko, hilo ndilo jukwaa aligombea ofisi juu yake. Niliwaonya kupitia Unabii Takatifu kwamba hayo mabadiliko hayatakuwa kwa wema bali kwa uovu.

Sasa mnainamisha vichwa vyenu na munatikisa vichwa vyenu kwa mshangao kwa lile nimetabiri limekuja kutendeka na sasa mna rais mbaya zaidi aliyewahi kuchaguliwa rais. Sikumuweka pale. Lilikuwa ni chaguo lenu. MIMI, YAHUVEH, lakini tu NIliruhusu. Kwa wale ambao walimpigia kura, inamisheni vichwa vyenu katika aibu�kwani MIMI Nawawajibisha kama hamzungumzi na kukemea mlichofanya na maovu sasa tu yameanza.

Marekani tena si �nchi ya watu huru na shujaa.� Hakuna jambo moja ambalo hamjalegeza kama dhambi [sasa] kuhalalishwa. Wakati mmoja mlisimamia maadili. Wakati mmoja mlikemea mataifa mengine yaliyotesa. Sasa nyinyi ndio watesaji. Wakati mmoja [mlishikilia] juu Mkataba wa Geneva. Sasa mwaitia maskhara. Kitu chochote chaendelea katika Marekani. Dunia yaangalia Marekani na kuona mbele ya macho yake kwa wale ambao kwa amani wanaandamana wanapigwa na kufungwa. Jinsi rais wa Marekani yenyewe Barack Hussein Obama anaendesha ajenda ya ujamaa �ambapo wakati mmoja Marekani ilisimama dhidi ya ujamaa, ukomunisti. Sasa wana rais ambaye anatikisa mabega yake na kusema, �Kwani nini mbaya na ukomunisti?

Oh Marekani ulichofanya. Mababu zenu wangewalilia. Uhuru mliopigania kwa bidii�mwawachia wachache wautoe kwenu. Watoto wenu sasa wanatiwa kasumba katika mashule kumuimbia nyimbo za sifa Barack Hussein Obama. Watoto wenu sasa wanatiwa kasumba katika mashule kukubali maisha ya mashoga na wanafunzwa �Ni nini mbaya nayo?� Watoto wenu wanafunzwa katika mashule hakuna kitu kama Muumba, yote ilikuwa ni mageuzi.

Niliwaonya kupitia huyu Nabii Mtakatifu, �toeni watoto wenu kutoka kwa mapango ya mpinga-kristo�, miaka ngapi iliyopita? Kwa maana sifanyi chochote pasipo kwanza kuwafunulia Manabii. Naonya kabla hukumu kuja.

Niliwaonya Kanada, msifuate katika nyayo za dada yenu Marekani na sasa mnatembea kwa pamoja.

Haya ndiyo Maneno ninayo kusema katika hii Yom Kippur. Mnaenda kuona vitu hamtapenda kuona, mtasikia vitu hamtaweza kuamini � kwa maana watumishi wa shetani sasa wameenea pote. Hakuna kanisa, hakuna shirika, hakuna biashara, hakuna sinagogi, hakuna serikali � ambapo watumishi wa shetani hawapatikani.

Mashule sasa yanaskuli watoto wenu na kuwaambia hakuna kitu kama maadili. Ni siku ya huzuni, huzuni kweli, kwamba zaidi hawajasimama na kutetea wanachojua ni kweli. Huduma hii ni kama sauti nyikani. Huyu Nabii Mtakatifu ni kama mwanamke nyikani na anawalilia, �Tubuni kama bado kuna wakati�.

Tena Nasema, Dhiki Kuu, Siku ya Taabu ya Yakobo, inapumua chini ya mashingo zenu na wangapi hata hawatambui hili. Unaishi maisha yako ni kama utaishi milele. Unatengeneza kabla mipango ya mbali katika miaka, lakini sio MIMI pekee YANGU ambaye anaweza kuhesabu siku zako? Unaweka akiba kwa ajili ya kustaafu ambako hakutakuja. Mbona usiwekeze katika Ufalme wa Mbinguni? Je, haujui kwamba hicho ndicho kitu pekee kitasimama? Ulichonifanyia [pekee] MIMI, YAHUVEH na kuinua JINA la MWANA WANGU YAHUSHUA MASHIACH wenu [kitasimama].

Kuna njaa tayari, imeenea kote duniani. Hiyo njaa ni ya Maneno YANGU ya kweli (Amosi 8:11). Jinsi gani wachache hata wanajua MIMI ni Nani? Jinsi gani wachache wanaelewa kwa nini YAHUSHUA Alikuja, YAHUSHUA ni nani? Jinsi gani wachache wanaamini kwamba kuna bei ya kulipa kwa kutokuwa takatifu? Ni zaidi ya kusema tu sala rahisi. Ni kuishi maisha yako, ukiweka hatua na imani nyuma ya hilo sala (Yakobo 1:22).

Jinsi gani makanisa machache sasa yanasimama dhidi ya dhambi? Jinsi gani wachache wanatetea wengine wanaposhtakiwa kwa hata kuomba katika shule? Kwa nini kila kanisa halikusimama na kutetea watu hawa wawili?

Mnapoona mtumishi msichana wa ndege hawezi kuvaa ishara, ya imani yao, ambayo ni msalaba, mnapoona misalaba ikitolewa kwa nguvu kutoka kwenye hospitali � Nyinyi mnaojiita makanisa ya Kikristo � Kwa nini mlikuwa kimya?

Sasa mnasema, �ABBA YAHUVEH jinsi gani Unaweza kuruhusu uhuru wetu kuchukuliwa. Kwa nini uhuru wetu wa dini na hotuba unachukuliwa?�

Nawaambia siku hii, �Ni nini mliufanyia? Ni vipi mliupigania? Mnafanya nini sasa? Kwa nini nyinyi nyote hamfanyi chochote?� Huduma hii inafanya sehemu yao. Niulize na Nitakuonyesha jinsi ya kufanya sehemu yako. Uavyaji mimba ni jambo la kawaida sasa mtoto anaweza kuzifanya hata bila ruhusa ya wazazi. Mlifanya nini kuhusu hilo? Je, mlifanya chochote?

Ni nini mlifanya kupinga ndoa za jinsia moja? Ni nini mlifanya kusimamisha ushoga ambao umeenea katika nchi hii? Je, mlisimama? Je, mlitetea na kusema ABBA YAH Alitengeneza mwanamme mmoja na mwanamke mmoja kwa kusudi? Watoto wanapewa kwa mashoga. Kisheria wanaweza panga utoto. Dhambi imehalalishwa.

Waza nini kizazi kijacho cha watoto kitakavyokuwa� (2 Tim 3:1-5)

Hakuna maadili �hakuna elimu ya MUNGU pasipo serikali [kama mungu]. Kitu chochote chaweza fanywa bora kinakufanya �ujihisi vizuri�.

Watakosa nidhamu �kwa ajili wazazi wamepigwa marufuku kuwapa nidhamu. Fikiria njia ya jehenamu hata pana na mpana zaidi kuliko ilivyo sasa. Haya ndiyo Ninayotabiri yatatendeka kutoka kwa kinywa cha huyu Mtangazaji.

Njaa kama hiyo yaja (Amosi 8:10). Kama tu nyinyi ambao mumekuwa na njaa ya Neno LANGU, Nawaambia hii sasa: jiandaeni kwa ajili ya siku za usoni. Je, nitajiandaa vipi, unasema? Jilisheni, jilishe na ukweli WANGU, jifunzeni MIMI na YAHUSHUA na RUACH ha KODESH ni nani. Lisha nafsi yako. Usilichukulie Neno Takatifu kama kawaida. Jilishe na Unabii Takatifu ambazo Nimezitoa kupitia huyu Mtumishi, kwa kuwa kila Neno ni kweli. Utajua unachotakikana kufanya. Kama vile siku ya Musa ndivyo itakavyokuwa tena, lakini [Siwaachi] bila matumaini.

Nawapa matumaini sasa. Mapigo yanayokuja hayaji kwa ajili yenu, kwa maana mumeweka ishara ya damu kwenye milango yenyu. Inawafunika; ni Damu ya YAHUSHUA MASHIACH wenu, Mwana WANGU wa pekee MIMI YAHUVEH. Watu wa mataifa watakapotembea katika giza, nyinyi mtatembea katika mwangaza WANGU wa kuongoza, mwanga wa milele wa pekee ambaYE ni YAHUSHUA MASHIACH wenu. Kama MIMI, YAHUVEH Nilivyoweka manna kwenye ardhi (Kutoka 16) musitie shaka (Yakobo 1:6-7) Nitafanya hivyo kwa ajili yenu. Kama mnavyojilisha na manna YANGU ya Mbinguni sasa, musitie shaka kuwa nitawalisha, kama vile kwa hakika mwamba ulitoa maji wakati Musa aliupiga, kama vile kwa hakika Ninatoa Maji yaliyo Hai sasa kwa wale wanaoyapokea (Hes.20). Nitatoa maji kwa ajili yenu wakati inaonekana hakuna.

Kama vile kwa hakika Shadraka, Meshaki na Abednego walitupwa katika tanuru ya moto, kama vile kwa hakika mtu wa nne alionekana na kutembea katika moto pamoja nao na hawakuteketezwa, na wakaokolewa na kuwekwa huru, ili wote wangeweza kuona kulikuwa hakuna harufu ya moshi na hata vifungo vyao kama vilivyo katwa, (Katika maono Elisabeth (Elisheva) aliona sime iliyowaka moto ikikata hivyo vifungo) wote wakaguta, �Nani Yule mtu wa nne ambaye alitembea katika ile miali ya moto (Dan 3)?�

Nitawaambia ni nani. Alikuwa ni YAHUSHUA MASHIACH wenu na Alichofanya wakati ule Atafanya tena kwa ajili yenu kama mnatembea takatifu na kwa utiifu KWANGU MIMI, YAHUVEH na kila siku munauliza msamaha kwa dhambi zenu katika JINA la YAHUSHUA MASHIACH wenu.

Nitakufanya usionekane (Zaburi 27:5). Nitashangaza serikali za nchi. Tembeeni katika njia ZANGU na katika hii siku ya Yom Kippur tambua wote wametenda dhambi na wamepungukiwa na Utukufu WANGU, kwa kuwa kuna tu mmoja Aliye kamili ambaYE Alitembea dunia hii na ni YAHUSHUA ha MASHIACH, Mwana WANGU wa pekee.

Kwa hivyo kama unataka kulia siku hii, lilia kwa ajili ya yale ambayo yatakuja. Fanya yote unaweza kwa wale ambao bado hawajaokoka, ambao hawajaita Jina la YAHUSHUA ha MASHIACH. Lia yale watakayopitia. Kwa vile tena Nasema, munapoona Udikteta wa Kiimla ukitokea katika Amerika hivyo ndivyo Dhiki Kuu iko karibu juu yenu.

Kemea waongo. Kemea wachongezi. Simama na utetee Huduma hii kama unataka kuendelea kusikia Ujumbe Takatifu kutoka KWANGU. Saidia pale ambapo unaweza. Peana madadi pale ambapo unaweza. Toa Neno la kutia moyo, lakini weka hatua nyuma ya maneno yako (Yakobo 2:14-15). Saidia kuinua mzigo kwa vile mizigo ni mikubwa. Tena usiogope kunena na watu Maneno YANGU. Wakati Naiweka juu ya moyo wako onya wakati bado unaweza. Pinga wakati bado unaweza.

Ole wenu Marekani kwa kuwa nyinyi ndiye ishara jinsi ilivyo karibu Wakati wa Taabu ya Yakobo. Nyinyi ndiye saa ambayo Nimewekea saa YANGU nayo [pia Israeli], kama dunia inavyotazama na kutazama uhuru wenu ukifa. Mulionywa. Mulionywa, kwa vile kwanza Nilituma huyu Nabii Mtakatifu kuonya Marekani. Lakini wanapokataa kusikiza na wengi wa Wachungaji wanatupa hayo maneno nje kama uongo wakisema, �Marekani itaishi daima. Marekani ni Taifa kubwa. Inatakikana tumuunge rais wetu, inatakikana tufuate sheria za nchi hata wakati zinaenda kinyume na Maandiko Matakatifu�.

Nilimwambia Nabii WANGU Mtakatifu, Amerika haitasikiza. Na badala yake, Nilimweka kuwa na kumuita kuwa Mtume kwa Mataifa. Muda unayoyoma, hasa munapoona iitwayo �huduma za afya� ambayo inapiganiwa. Huu muswada hauhusu maisha, huu muswada unahusu kifo. Ni nani atakayeishi na ni nani atakayekufa. Ni nani watakaokuwa na fursa ya kupata madaktari na ni nani watakosa, nani waumini waliozaliwa tena wanaofuata YAHUSHUA �wanalo jina lako tayari wanajua wewe ni nani.

Mtapata huduma za afya ambazo hamtataka kama hamtapinga sasa na angalau kupiga kura yako Mbinguni. Lakini Nina njia, MIMI daima hutoa njia kwa watoto WANGU wa kweli kuna njia ya kutoroka, lakini siifichui sasa.

Msisahau Sukkot inakuja. Fanya kadiri uwezavyo kuiadhimisha. Kama hautaweza kufanya lolote zaidi lala kwenye sakafu na tengeneza hema ukitumia blanketi. Najua moyo wako. Najua kile ambacho unaweza fanya na Nitaiheshimu na Nitakubariki.

Hii ni siku ya sononeko, sononeko nzito. Jinsi wachache wanaNikiri na hata kuomba �hata kama wanaweka muda wao wa Yom Kippur kwenye hiyo kalenda nyingine [Kalenda ya Kiyahudi ya kimapokeo]? Jinsi wachache walijali? Jinsi wachache walijali? Jinsi wachache hata wakainamisha vichwa vyao?

Na katika makanisa ya Kikristo jinsi wachache walifunza Yom Kippur hata ni nini? Lakini ni wajibu wako kama uko katika kanisa la Kikristo, sehemu ya kanisa za utaratibu, ni wajibu wako kuwajulisha. Kama Mchungaji atakukemea, unajua basi ni wakati wa kwenda na �Ikabodi� NAMI Nitaandika kwenye mlango wa hiyo kanisa. Haya ndiyo Maneno ya huzuni ninayo kusema.

Matumaini! �kwa Watakatifu WANGU wa kweli wanaofuata YAHUSHUA ha MASHIACH, Mwana WANGU wa pekee na kuomboleza na kusaga meno [kwa wale] ambao wamekataa ile Damu iliyomwagwa kwa ajili yao pale Kalvari.

Kwa hivyo wekeni saa zenu na muangalie Amerika na mutajua wakati mtaona uhuru wote ukienda � Dhiki Kuu imeanza wakati uhuru wa mwisho utaenda.

MIMI, YAHUVEH Nimenena.

Hivyo imenenwa, hivyo imeandikwa Septemba 29, 2009 saa 11.00 usiku.

Mtoto, Shujaa, Bibi Harusi wa YAHUSHUA ha MASHIACH,

Mtume Elisabeth S. Elijah [Elisheva Eliyahu]

Kabla tu kuweka Unabii 115 kwenye tovuti ya Huduma YAHUVEH Alizungumza Neno hili Oktoba 12, 2009.

Nimependezwa saana na kazi ambayo umefanya.

Nakuambia hii Elisabeth [Elisheva], najua ninalotaka ufanye linakufanya uhisi kuwa unaweza kudhuriwa zaidi kwa vile unasema unahisi ni kama kwamba unasimama uchi mbele ya dunia kuwaacha waone na wasikie hisia katika sauti yako. Umeomba na umesihi kwa vile haukujua kwamba Nitakuambia uweke hii mbele ya dunia ili waweze kuona moyo wako, ili waweze kuona jinsi unavyotetemeka kwa hofu kwa kila neno Ninalosema. Kwa wale wanaosema wanapenda Huduma hii, na bado kamwe hawajawahi kuinua kidole hata kwenye baobonye kukutia moyo. Ninakuambia hii, kama nimevyosema, ni MIMI, ABBA wako YAHUVEH ambaYE nimeweka kila jina kwenye moyo wako unene.

Nakupa elekezo jipya. Hukumu zaidi inaenda kurundikwa juu ya hawa maadui WANGU na yeyote yule anayeshambulia Huduma hii ni adui WANGU, kwani ni mara ngapi na ni njia ngapi lazima NIiseme?

Jina lenyewe la Huduma hii linasema ni mali ya nani na ni mali ya Aleph na Tav na RUACH ha KODESH. Kwa hivyo wanapokushambulia Elisabeth [Elisheva], ni bora ujue hii, hawashambulii mwanamke tu, wanashambulia MZEE wa SIKU, ALIYE wa MILELE, MUUMBA wa VYOTE.

Wanashambulia YAHUSHUA, MWANANGU wa Pekee na wanathubutu kujaribu kutumia jina Mkristo; wanathubutu kujaribu kutumia jina la YESU KRISTO na kukushambulia wakati huo huo; watawajibishwa kwa kila kashfa ya uongo na nyinyi nyote ambao mmesimama hapo na kutofanya chochote na ilhali mnajua ukweli unasemwa kutoka kwa Huduma hii na bado hamjafanya lolote kuitetea; hamjafanya lolote kusaidia na sisemi kwa wale ambao ni waaminifu saana, wanaotoa kwa muda wao wa maombi, himizo na fedha, mnajua Nimesema kwamba Nitawabariki mara tatu zaidi, lakini Nazungumza na wale wengi walio kimya wanaokuja hapa na wanajua kwamba wanaweza pata nyama ya kiroho kula, ufunuo mpya kutoka Mbinguni na wanarejea kwenye makanisa yao ya utaratibu na kuwa wapasa joto benchi na kuweka sadaka yao katika sahani ya sadaka ili wote waone kwani hatahivyo wanasema si mtandao ni bure? Bado Nimejenga hii hekalu mbele ya ulimwengu bila kuta zozote.

Kwa hivyo nakupa amri nyingine sasa; Nataka waone uso wa yule wanayetia kashfa. Wewe weka picha ndogo pale. Hivyo wanaposikia sauti yake, watalazimika kutazama uso wake. Jinsi Nitaweka hukumu zaidi juu yao, kwa wale wanaokataa kutubu; na Elisabeth [Elisheva] Nakwambia hii, hakuna chozi moja umemwaga ambalo limeanguka bure. Najua kuwa unafanya kadiri ya unavyoweza kuhudumia kondoo na wana kondoo WANGU. Najua uongozi na timu ambayo Nimeweka pamoja. Kila mtafsiri Nimechagua na mkono na mradi watembee watiifu KWANGU, katika Utakatifu, Nitaendelea kuwatumia kama baraka na Nitawabariki kwa kuwa hiyo baraka kwa vile wao wote wanajitolea saana, yote katika jina la upendo.

Vema. Vema. Imekuwa pambano kweli. Una Unabii mwingine bado njiani sembuse ule ambao Nimeweka ndani ya moyo wa Elisabeth [Elisheva] lakini vema. Vema, Kathrynyah. Vema, Adam. Vema, Stephen. Nimewapa kazi ya kuhudumia kondoo na wana kondoo, watoto tai wapya na Elisabeth [Elisheva] unajaribu kuuguza kila mmoja na Ninasema na MIMI ni ABBA YAHUVEH, MWANANGU YAHUSHUA MASHIACH wako Anatukuzwa kwa sababu unawapenda saana, kila mmoja Ninayemtuma kwako. Unapenda. Unashauri. Unakemea kama inavyohitajika. Na Ninasema, �Vema.�

Nyinyi mnaotafsiri hizi Unabii na mnafanya kazi za wakati wote, na bado mnaweka kazi ambayo nimewapa kabla ya chochote kile, Ninasema, �Vema.� Zawadi zenu ni kubwa.

Nyinyi ambao ni YDS mnaoombea wengine mashujaa wa maombi, kiwango cha chini cha saa ya muda mnatoa. Nyinyi ni mstari wa mbele mnaosimama katika njia na kusema, �Lazima mtupitie kabla muweze kufikia Uongozi wa Huduma hii.� Na Ninasema, �Vema.� Mnajijua nyinyi ni nani.

Hakuna aliyewaahidi itakuwa rahisi. Kitu ambacho mmeahidiwa pekee yake ni ya thamani. Wote ambao wanachukua msalaba wao na kufuata YAHUSHUA MASHIACH wenu, ambao wanateswa kwa ajili ya JINA LAKE, ambao wanateswa kwa sababu wanakataa kuafikiana na dhambi, vema. Nyinyi ni wapendwa WANGU. Na siku moja mtasimama mbele ya Kiti cha Enzi cha YAHUVEH na tuzo zenu mtapewa na mtaNisikia Nikisema, �Vema.� Mmekuwa baraka kwa hii Huduma, hata mumeshiriki fedha zenu, hamuwezi hata anza kuwaza tuzo Ninazo ambazo zawangojea kwani mtashiriki katika kila tuzo ambalo huyu Nabii anayeongea atashiriki. Mtasimama papo hapo kwa upande wake, kila mtu ambaye amekuwa baraka, kila mtu ambaye ametetea huu ukweli, kila mtu ambaye amekemea waongo na uongo, MIMI, ABBA YAHUVEH Nasema, �Vema.�

Hivyo haya ndiyo maneno Nimeongeza. Ulifikiri tu umemaliza. Lakini MIMI, ABBA YAHUVEH Nilikuwa na muda wa kusema, �Vema waminifu WANGU.�

Mwisho wa Neno

Maono ya Kathrynyah: Neno hili lilipokuwa linasemwa, Kathrynyah aliona maono ya wanajeshi waitwao Green Beret. Hawa ni wanajeshi bora zaidi wa Marekani na YAHUVEH Alimfunulia Elisabeth [Elisheva] kuwa hawa ni YDS.

Maneno tatanishi

*�viumbe kutoka sayari nyingine� � katika kimombo �aliens�. Viumbe vinaaminika kuishi katika sayari nyingine mtawalia lakini ukweli wa mambo ni kuwa viumbe hivi ni mapepo kutoka Jehena vilivyojificha kwa kugeuza umbo. Tahadhari navyo.

*�UFO� � Viombo Vinavyopaa Visivyojulikana ni viombo vinavyoaminika kutumiwa na viumbe kutoka sayari nyingine.

*�meli za hewani� � katika kimombo �space ships�. Hivi ni vyombo ambavyo vinaaminika kutumika na viumbe kutoka nje ya dunia.

*�mageuzi� � katika kimombo �evolution�. Ni imani ya kisayansi ambapo inaaminika MUNGU hakuumba dunia bali kwa muda mrefu wa mamilioni, wanadamu waligeuka kutoka kwa nyani hadi wakawa walivyo sasa na viumbe vingine pia vivyo hivyo kugeuka kutoka kwa mifumo nyingine.



CLICK HERE or the image below to go directly to her youtube channel
YAHSladyinred